Tanzania kwasasa hatuna wabunge kwa maana wawakilishi wa wananchi.
Wabunge waliopo waliteuluwa na marehemu Magufuli, hakuna aliyechaguliwa, hivyo wote ni wabunge wa viti maalumu wanatetea maslahi yao, chama chao na rais wao.
Siku tukichagua wabunge tutakuwa na wabunge wa wananchi watakao tetea nchi siyo mtu.