kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,580
- 23,053
Ndugu wanajamvi,
kidoogo hapa sijaelewa katika bunge letu tukufu ni nani ane mruhusu mbunge kusimama na kuongea na zile mic zinatakiwa kuwasha muda gani mbunge awapo pale kwenye kiti ,na nani anaetakiwa kuomba muongozo?mimi naona kila mmoja tu anasimama na kuzungumza je hakuna kanuni?
kidoogo hapa sijaelewa katika bunge letu tukufu ni nani ane mruhusu mbunge kusimama na kuongea na zile mic zinatakiwa kuwasha muda gani mbunge awapo pale kwenye kiti ,na nani anaetakiwa kuomba muongozo?mimi naona kila mmoja tu anasimama na kuzungumza je hakuna kanuni?