Ibrahim K. Chiki
JF-Expert Member
- Apr 5, 2011
- 594
- 163
Hali ni mbya bungeni, kuna uchaguzi wa representatives wa pan africa, and lugha ndani ya bunge imebadilika, inasikitisha kua tuna wabunge wanaongea kiingereza kibovu kabisa..tena mfano mzuri ni huyo speaker mwenyewe mama makinda...kiukweli anavyoongea kiingereza ni kama anaongea kiswahili. duu.. hii ni aibu.