Bunge lapasuka

Bunge lapasuka

Nadhani wakati umefika sasa Raisi Magufuli atakapokabidhiwa uenyekiti wa Chama afutilie mbali wafanyabiashara kuchukua nafasi za uongozi wa chama na kiwaengua kwenye mafasi za kugombea nafasi za udiwani na ubunge ili kutenga biashara na siasa. Mda wotewafanyabiashara wapatapo nafasi za uongozi wa umma ndo wanaitia nchi hasara kwakuwa mda wote hutafuta fursa za kibiashara na kuingiza serikali katika mikataba ya kiwanufaisha wao na hasara kwa taifa.
Ni kweli mkuu, kama Magufuli anataka kufanikiwa kwenye utawala wake, ni lazima akamate rungu la chama, vinginevyo atakwamishwa sana na hii midubwana iliyokamata chama
 
Katika nchi hii hakuna jipu lililoiva kama bunge bunge ni kirusi kwa nchi hii wao wanachojali ni kujiongezea mlo tuuu
 
Katika nchi hii hakuna jipu lililoiva kama bunge bunge ni kirusi kwa nchi hii wao wanachojali ni kujiongezea mlo tuuu
Bunge ni jipu kwa sababu input yake kubwa(CCM) ndilo jipu kuu.

Mfumo wa CCM unalea rushwa na ufisadi, usitegemee output ikawa safi
 
Tulishasema ndani ya ccm hamna jipya ona sasa watumishi wa serikali tena ambao ndio tegemezi kubwa kwa wananchi wote ni wapiga dili mmhh mheshiwa rahisi nakuombea mema kwa mungu ili ufanikiwe mana hapa tumtangulize sana mungu na sio ccm tena

Viva ukawa
""""""""""""""""""""""""
 
Mbona hii habari ukiisoma between the lines kama imeandikwa na taasisi yenyewe kujisafisha? Wabunge wala rushwa washughulikiwe na EWURA nao watumbuliwe utajilipaje kwa dola?( if allegations are true)
kama vile, hata mimi hav noticed that
 
Mbona hii habari ukiisoma between the lines kama imeandikwa na taasisi yenyewe kujisafisha? Wabunge wala rushwa washughulikiwe na EWURA nao watumbuliwe utajilipaje kwa dola?( if allegations are true)
Mkuu kwani na ww ni mmoja wa wabunge ktk hiyo kamati ya nishati na madini..!!??
 
EWURA inapaswa kumlinda mteja na wakati huo huo kulilinda shirika hivyo sidhani kama EWURA watakuwa tayari kushusha bei ya umeme huku hali ya shirika ikiwa mbaya kufurahisha wanasiasa.

Adui mkubwa wa EWURA ni wafanyabiashara wa mafuta na wanasiasa wenye maslahi katika hii biashara au wale wanaoutumiwa na wafanyabiashara hawa kutaka kuikomoa EWURA kwasababu inawabana.

"Azimio la Arusha lilisimamia misingi ya utu" J K Nyerere
 
Hahahah eti Marry Mwanjelwa naye anajiita mwadilifu na anamwamini Mungu makubwa!!! Huyu aliyekua anaiba mpaka vitaulo na sabuni za hotel atashindwa kuomba 100M?
 
Back
Top Bottom