Duh! Kwa kweli alitoa tusi lisilo la kitaasisi na anastahili kufundishwa nidhamu ya kiuongozi. Kama mimi nilisema ukweli tu niko mbioni kufukuzwa chamani, iweje kwa huyu kigogo aliyesema watu wanafikiria kwa kutumia 'Masaburi?'
Maana watu hufikiria kwa kutumia brain, na ukiambiwa tu kwamba unafiiria kwa kutumia spinal cord (ambayo ni mfumo huo huo wa fahamu) unaweza kupigana, vipi ukiambiwa unatumia 'muscles za makalio' kufikiri??? Nadhani ni sawa na mtu kukuambia hauna ubongo kabisa!