Bunge laimaliza nchi, watanzani hoi ..!

Bunge laimaliza nchi, watanzani hoi ..!

Makomu

Member
Joined
Sep 28, 2011
Posts
27
Reaction score
3
mamilioni ya watanzania yaendelea kupotea kuwalipa wabunge ambao wanapoteza muda kujadili watu/chama kinachowatoa jasho badala ya kujadili maswala ya msingi ya kitaifa eg muswada wa katiba. Tuwe macho watanzania hawa watu hawathamini lile tulilowatuma nalo huko. Hawajui wajibu wao tena, tuwawajibishe.!!!!
 
Back
Top Bottom