yakub
Member
- Feb 25, 2011
- 41
- 4
Who is the owner of parliament is wananchi, CCM or CHADEMA maana kila nikifatilia bunge nackia hoo serikali ya CCM imefanya hivi imefanya vile even if wakiulizwa mambo ya msingi wanadefend chama chao. so hili ni bunge la wananchi au Bunge la CCM kupinga hoja za vyama pinzani vinavyowakilisha wananchi.