Bunge la kesho

Wakikosa ubunge wanaweza kuukwaa ukuu wa wilaya, ama ukatibu tawala ama ukuu wa mkoa. Asee kuna mengi ya kujifunza Tanzania mazee
 
Halafu mbona wana vifua vilaini sana hawa wabunge tarajali?
 
Wakikosa ubunge wanaweza kuukwaa ukuu wa wilaya, ama ukatibu tawala ama ukuu wa mkoa. Asee kuna mengi ya kujifunza Tanzania mazee
Dunia ya sasa imebadilika, mambo yote ni mtandaoni.

Bila kujibrand unaweza kuwaona watu wanafanikiwa mbele ya macho yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…