Bunge la katiba

Bunge la katiba

edgarharson

Member
Joined
May 5, 2011
Posts
20
Reaction score
5
Kwa style hii ya wabunge wa BMK kutumia maneno ya mungu kwa dhihaka...yatawarudia.
Hisia za wengi watanzania wazalendo ni mpate katiba ya maridhiano.
Nikiwatizama wajumbe wa iliyokuwa ya Warioba naona uwepo wa matarajio halisi ya wengi watanzania wa kawaida kama mimi tunaotaka haki na usawa katka jamii ya watanzania,sioni matumaini yeyote kutoka kwa rasimu hii ya sitta na vijisenti.
:flame:Mungu isaidie mama yetu Tanzania, tupate katiba ya wananchi sio katiba ya watawala.
:flame:
 
CCM haikubariki! Watanzania tushirikiane kuitokomeza!
 
Sita & co wataumbuka vibaya sana ! Vimemo vyote vimevuja !
 
JITAHIDI KUBORESHA LUGHA YETU ADHWIM?....hii ndio tabu ya thread za usiku.
 
Naomba kujua Wabunge wanaweza kuteuliwa kuwa Mawaziri kwa katiba hii mpya
 
Back
Top Bottom