Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,892
Mh. waziri mkuu kwa nini hadi leo tunaendelea kutumia noti za zamani kwenye mzunguko wetu wa fedha? je kuna adhari au faida yoyote?... natamani sana ningekua mbunge ili pinda anijibu.