Bunge kesho kama kawaida

Bunge kesho kama kawaida

Mhongo na Maswi wakiondoka wizara ya nishati na Madini tumeumia watanzania. Sakata la escrow hatutalisikia wala kashfa hadi ataokee Mtanzania mwingine. Mti wenye matunda mazuri?

Heko Mhongo na team yako. Kuwa na kiburi hasaaaa kwa wadalalia nnchi. Mnafiki usimpe nafasi. Wakati watu wanakutukana mimi nakupongeza kwa kuwaonesha wazungu sisi siyo easy going kama ilivyozoeleka

Mat.ako ya......
 
Nilishangazwa sana na maazimio kushirikisha serikali. Kwani katika sakata hili serikali ni mhusika namba moja. Sasa inakuwaje wao washiriki kwenye kujihukumu. Hivi hukumu itakuwa ya haki kweli? Nilishangazwa sana na upinzani kuingia kwenye mtego ule kilahisi
 
Yaani Mbowe ni smart balaa,Jana wkt spika anasema kuwa wapinzani wanataka kutoka niliumia sana nikatamani ningekuwa na namba ya cm yake nimtumie meseji kuwa wakomae wasitoke. Nikawaombea hapohapo wapate ufunuo huo nashukuru walifanya walichopaswa kufanya. Hongera captain Mbowe kwa kuwa makini na akili ya haraka ya kung'amua mambo
 
Punguza hasira mkuu

Hivi wewe ishawahi vamiwa nyumbani kwako wakakomba kila kitu kwa kukuonea huruma wakakuachia taulo na suruali moja ya kujisitiri siku ukimkamata yule mwizi wako utamfanyia nini funguka tu ndugu usiogope.
 
CCM wanaona ubaya gani wahusika kujiuzulu?? Hii ndo ticket ya kuondolewa mwakani.

Nilishasema siku nyingi kwa sas ccm ni kama wale wajenzi wa mnara wa babeli Mungu alipoona wanakwenda kinyume na mapenzi yake basi akampa kila mtu aseme kwa lugha yake basi wale wajenzi wakaendelea kujenga lakini luga zikawa gongana hawaelewani na ndipo hapo mnara ukaishia hapo na ukaanguka na hapa ndipo.ccm walipofikia lugha sasa zimetofautiana hawaelewani tena na hili litakuwa anguko lao kubwa mwenye macho haambiwi tizama wala mwenye masikio kusikia letu jicho.
 
Mhongo na Maswi wakiondoka wizara ya nishati na Madini tumeumia watanzania. Sakata la escrow hatutalisikia wala kashfa hadi ataokee Mtanzania mwingine. Mti wenye matunda mazuri?

Heko Mhongo na team yako. Kuwa na kiburi hasaaaa kwa wadalalia nnchi. Mnafiki usimpe nafasi. Wakati watu wanakutukana mimi nakupongeza kwa kuwaonesha wazungu sisi siyo easy going kama ilivyozoeleka

Alipoingia wizarani, deni la Tanesco lilikuwa 40billion kwa mwaka,miaka miwili tu ya uongozi wake deni hilo limefikia 400billion kwa mwaka!Ni kipofu pekee ndiye atakayeshindwa kuona upuuzi huu wa Prof.Muhongo,Wenye Akili tunasema HAPANA!HE MUST GO!
 
Back
Top Bottom