Bunduki 5600 zilizokamatwa zateketezwa Kigoma

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,621
8,411
Zaidi ya bunduki elfu tano na mia sita zilizokamatwa katika maeneo mbalimbali nchini zikitumika kinyume na sheria zimeteketezwa kwa moto katika uwanja wa Lake Tanganyika Kigoma.

16174384_1104657202978586_3370319540126145114_n.jpg


16114977_1104657189645254_5702552670139266838_n.jpg
 
Kwa mkoa kama kigoma huwezi kusema magobole, hapo mpaka bunduki za kivita.acha zichomwe tu maana hakuna namna
 
Kweli hata mimi huwa najiuliza kwa nini zisipangiwe matumizi ya kihalali? Maduka ya serikali ya silaha kwa jamii yapo, zifaazo zipelekwe huko, nyingine mgambo, jkt nk. Hivi zisingetufaa siku vita ikitokea? Vijana walopitia jkt na mgambo wako mtaani, siku Malawi akileta mushikeri si tungezitumia,, au ni bandia haziui.
 
Back
Top Bottom