Habari zenu wadau..
Kwa anayejua ni mtandao gani hapa bongo wenye gharama nafuu ya bundle...
Nina line mbili, Halotel na Voda,... Nimekua nikiitumia Halotel kwa internet kwani nililinganisha na Vodacom nikagundua Halotel kuna kaunafuu... Sasa nimeongeza simu nyingine, so nataka line mpya kutoka mitandao mingine lakini iwe na unafuu wa gharama za vifurushi na yenye kasi,.. Naomba ushauri wenu.