Bunda: Watangaza nia CHADEMA wapigana

Bunda: Watangaza nia CHADEMA wapigana

chui2014

Member
Joined
Jul 5, 2015
Posts
16
Reaction score
3
Wanachama wa chama cha CHADEMA wilaya ya Bunda mkoani Mara, jana majira ya mchana walipigana katika ofisi ya wilaya ya Bunda mjini hadi kusababisha barabara ya Mtaa wa Benki ya NMB kutopitika hali iliyopelekea mtu mmoja kulazwa baada ya hali yake kuwa mbaya.

Huu ugomvi ulitokana na wafuasi wa watangaza nia kupitia CHADEMA kutoelewana na kusababisha ugomvi mkubwa.
 
chui2014

Kama ni hivyo basi wote waliotangaza NIA huko na kupigana hawafai.......
 
Last edited by a moderator:
chui2014


chadema ugomvi ni jadi yao kumbuka ya mwigamba
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha.. na simu zote hizi za kisasa kusiwe na hata picha za hao waliopigana..? Ushauri wangu kwenu nyumba inawaka moto hebu jaribuni kwanza kutoa vitu nje visije navyo vikateketea..

Ninaamini mumemsikia Mzee Kingunge jana.. U may have won the battle, but not the war.. Hayo ni maneno ya Kingunge..
 
Chanzo cha ugomvi ni viongozi wa chadema ambao ni M/kitu na Katibu mwenezi wa jimbo wakishirikiana na mtangaza nia mmoja kwa jina PIUS na kumshambulia mtangaza nia mwingine airways CHACHA NYAMHANGA wote katika nafasi ya ubunge. Huo ugomvi ulisababisha CHACHA NYAMHANGA kujeruhiwa vibaya na kulazwa hospitali. Kauli ya aliyejeruhiwa ni kwamba anataka awapeleke mahakamani akiwemo na PIUS. Wengine walipata majeraha madogomadogo.
 
Ndoroobo kweli ww mleta mada...wapigane mpaka mtu alazwe hata kapicha hakuna na smart phone zilivyoo jaa mjini??...
 
Acha wauwane tu wendawazimu hawa wanafanya siasa kuwa vita.
 
ingekuwa kweli hii habari ingetoka Hiyo Hiyo Jana na si leo,utakuwa umeunganisha tukio la walevi wenu wa mataputapu na watia nia wa CDM.
 
siasa za kibinafsi ni mbaya sana kwani ni lazima mtu uwe kiongozi huwezi kuwa mwanachama?
 
Ni kweli tuko kipindi cha hatari ya uchaguzi, Basi jitahidini kuleta habari zenye mantiki, ukweli na Ushahidi (Picha), Vinginevyo ni Uongo mtupu
 
Hbari ya kupigana jana unaileta leo kama sio majungu ni nni???
SINA IMANI NA UKAWA
 
mapinduzi sio lelemama, lakini hili lisitufunge akili tukatumia nguvu kwenye kila jambo, ngumi ziwe za hoja na sio masumbwi.
 
Mwaka huu watauana,huku padri slaa vs lipumba kule bavichaa
Hivi ule ugomvi wenu wa mtaa wa Lumumba baina ya upande wa mzee Kingunge, Lowassa, Nchimbi & company VS Upande mwingine wa akina JK,Nape,Magufuli & company hadi wanatoana 'ngeu' wewe huuoni?

Wewe badala yake umekumbatia hizo 'hearsay' za kutoka Bunda

Nenda kwanza kule Lumumba ukaamulie ugomvi wa 'mabest' wako wa akina mzee Kingunge na JK wanavyovurumishiana 'makonde' ndipo urukie ugomvi wa jirani zako.
 
Itafahamika tu mwaka huu

ImageUploadedByJamiiForums1437043083.329365.jpg
 
Back
Top Bottom