Bunda ni ngome ya CHADEMA

Bunda ni ngome ya CHADEMA

Safiiii!!!!!!! MaCCM wamewekeza kwenye buku-7,7 kuendeleza propaganda kwenye mitandao ya kijamii... acha waendelee kulala wakija kustuka nchi nzima hawana chao...
 
Tusubiri uchaguzi,

Mbona umekumbwa na baridi ghafla... Waambie MaCCM mezango wajitokeze mitaani kama watapata watu...!! Endeleeni kulala humu kwenye mitandao na porojo zenu mtakapostuka nchi nzima imechukuliwa..

Tusubiri matokeo!!
 
nyie chezea mtandaoni, mzee wa fitna yuko kazini. msipokuwa makini mtamsikia...
 
Wasira anazidi kuumbuka na maneno yake ya kijinga atakufa kisiasa yeye ila sio chadema na viashiria ndo hivyo
 
Hata kikwete aende na policcm wake,watapigwa mabao ya kutosha.
 
Back
Top Bottom