Wakubwa habari za majukumu, Jamani naomba msaada kama kuna mtu anauza watoto wa Bull dog au amesikia mahali wanapatikana anijulishe ninahitaji, hata kama si Dar ila ni ndani ya Tanzania, msaada tafadhali.
Nenda pale maeneo ya Victoria wanapouza mbwa, kama hautapata basi watakufanyia mpango uwapatae maana wale wanajua deals zote za mbwa hapa dar. Ila kuna kiasi utawalipa kwaajili ya kukutafutia.
Nenda pale maeneo ya Victoria wanapouza mbwa, kama hautapata basi watakufanyia mpango uwapatae maana wale wanajua deals zote za mbwa hapa dar. Ila kuna kiasi utawalipa kwaajili ya kukutafutia.
Nenda pale maeneo ya Victoria wanapouza mbwa, kama hautapata basi watakufanyia mpango uwapatae maana wale wanajua deals zote za mbwa hapa dar. Ila kuna kiasi utawalipa kwaajili ya kukutafutia.