Amenikumbusha Mbunge mmoja miaka ya 1970 mwanzoni, walienda ziara Uingereza na kamati yake basi aliporudi akaulizwa umeyaonaje maendeleo ya kule tofauti na hapa? Akajibu " kwa kweli wenzetu wako mbali sana, kule mtoto wa miaka mitano anazungumza English sio mchezo bwana! Kwa kweli kwa elimu wako mbali sana"