Bulembo ametia fora

Hahahahaha mbona bongo mtoto wa kizaramo miezi minne tu anaongea kizaramo vzur tu
 
Me mwenyewe nilidhani umemaanisha [burembo na usukuma wake sawa na hakuna kitu kichwani]

Baadae ya kutulia nikaelewa (burembo akili zake sawa na yuke jamaa wa shinyanga msukuma ambawo wote sawa na ubongo usio na akili)
Kwani nimesema bulembo msukuma?
 
Karudie kusikiliza vizuri yale mazungumzo pale alimaanisha kuwa mtu ameshusha kiapo bila kusoma, kwa tafsiri kuwa ni mlemavu wa macho. Kumbuka pia aliongelea na uteuzi wa watu walemavu wengine nje na yule mlemavu wa macho

 
Inaonekana wewe ni mzaliwa wa 1990s wakati tunamwita Sumaye Zero ulikuwa hujazaliwa.

Sumaye ndio muanzilishi wa viongozi wa siasa kuanza kusoma kwa kuungaunga kwenye mitandao
Kama hujuikitu nyamza!!!Sumaye alikuwa na diploma akiwa WM alipomaliza akaenda havard kusoma ssasa sikuelewi kuunga unga kupi?Mkuu wa kaya mwenyewe alianza na dip then akaenda kufanya bachelor so nae kaungaunga,Kama hujui kitu nyamaza.waliounga unga ni watu wa darasa la saba then unasikia ana masters
 
Hakuanguka kaangushwa au unafumba macho kujifanya huoni
 
Mkuu unajichekesha bila ya sababu lakini mwaka huu mnakazi kweli spindi ya magufuli imewaaacha mdomo wazi pole mlikosea sana kufungamana na mafisadi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…