IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,741
- 7,089
Unajua kichapo ambacho ccm imepata huku kaskazini ccm ilishakufaachana nae mkuu huyo lazima tu atakuwa ni wa kaskazini tu hivyo bado anaweweseka na kichapo kikali ambacho CCM imewafanyia huku MFALME NJOZI wao waliyemtaka awe Rais akianguka vibaya na sasa hata wale waliokuwa wakimsapoti wanamgeuka na kumcheka. kweli nimeamini bora uwe mjinga kuliko kuwa mpumbavu.
Hahahahahahah I have nothing worthy to say but shame on youMember Since: Apr 27, 2014 Messages: 861 Likes Received: 11
Trophy Points: 18
Ndo udogo wenyewe huo
Alienda kujipendekezaBulembo alikuwa anafanya nini Ikulu?
cc @G Sam
sumaye Ana Akili nyingi kuliko Bulembo hata kiujanja hawalingani Bulembo kazi yake majungu lakini sumaye mchakarikaji pia Kwa sasa ni msomi baada ya kuhitimu kule marekani .Su
Mr ziro summaye vipi?
umeeleweka Kwa asilimia 100 kabsa mkuu.Tukiwa primary mtu ambaye alikuwa anajibu swali bila kuangalia kwenye daftari kwa ujanja ujanja tulimwita kichwa sasa kwa kuwa jamaa hakuendelea na elimu hakuweza kujua yalayokuwa yanatokea o'level, A'leve hadi bachelor so msimcheke jamani huo ndio upeo wake kabisa na hana kosa.Sijui nimeeleweka?
Tuwaheshimu watu.Kumlinganisha Bulembo na Sumaye ni sawa na kulinganisha mlima na kichuguu.Bulembo ni darasa la saba failure sumaye ni diploma holder na Bachelor holder tena kutoka the best university in the world ambako bulembo hawezi pata hata kibarua cha kufagia kwa kuwa wafanya usafi wa havard qualification zao ni sawa na form six wa hapa Tz.Manake ili bulembo awe na qualification ya kuwa mfanya usafi wa chuo alichosoma Sumaye anatakiwa afanye QT miaka miwili then QT ya a level miaka miwili tena so asome miaka minne aweze kuwa na qualification ya kufanya usafi chuo alichosoma sumaye.Sitaki kuingia kiundani kuhusu nini Sumaye amewahi kulifanyia taifa na wala sitaki kuwatofautisha kwa legacy zao ila hichi kidogo tu naona umeona niaje hawa watu wawili hawawezi fananishwa.Kam
Kama Mr Ziro summaye
Dada Mbona hueleweki?Kiswahili nachokimekuwa shida?Tukikwambia badili hiyo sentensi iwe kwa kiingereza?Eti ndio tulitaka lugha ya kufundishia iwe kiingereza!!!!! Kiswahili ambacho tumezaliwa tunakiongea ni shida sasa lugha ya wenzetu ingekuwaje? Hapa kweli tungeakiwa tubadili tena div 5 iwe div 6 tena.INAWEZEKANA NI NDUGU WA MMOJA UU ZAIDI YA WALIOKUWA WANAAPISHWA
Mimi hiyo signature yako tu ndio imenifurahishaMember Since: Apr 27, 2014 Messages: 861 Likes Received: 11
Trophy Points: 18
Ndo udogo wenyewe huo
Kufanya nini Ikulu! Swali mbona la kijinga hili! Kwani wewe nani kakwambia ulishindwa kwenda!? Wakati wa kuapishwa mtu anaweza kualika mtu wake yeyote wa karibu. Mfano, wewe ungekuwa unaapishwa, kama una rafiki yako, unaruhusiwa kumualika...idadi ya watu wako isizidi watu watatu.Sawa sio msukuma, swali ni alikuwa anafanya nini Ikulu?
Kumbe Kamanda Mawazo hakuwa na akili! Basi sasa nimeelewa kwanini CCM walikuwa hawataki maiti yake iagwe kwenye viwanja vya furahisha. Na nimepata picha kwanini Watanzania wameikataa UKAWA...maana Mbowe, Lowassa na kundi lao wote walikuwa wakigombania maiti ya mtu ambae hana akili! Basi bila shaka na wao watakuwa hawama akili tu. Kwa mujibu wa kauli yako.Nimewauliza wamesema wasukuma hawana akili
So unasema na Rais nae!!?Tangu lini msukuma akawa na akili timamu?? Waje arusha tuwaazime zetu
Wewe unatokea kaskazini ipi hiyo mbona mshamba sana na hudeserve kuwa mtu wa kaskazini?Unajua kichapo ambacho ccm imepata huku kaskazini ccm ilishakufa
Inaonekana wewe ni mzaliwa wa 1990s wakati tunamwita Sumaye Zero ulikuwa hujazaliwa.Tuwaheshimu watu.Kumlinganisha Bulembo na Sumaye ni sawa na kulinganisha mlima na kichuguu.Bulembo ni darasa la saba failure sumaye ni diploma holder na Bachelor holder tena kutoka the best university in the world ambako bulembo hawezi pata hata kibarua cha kufagia kwa kuwa wafanya usafi wa havard qualification zao ni sawa na form six wa hapa Tz.Manake ili bulembo awe na qualification ya kuwa mfanya usafi wa chuo alichosoma Sumaye anatakiwa afanye QT miaka miwili then QT ya a level miaka miwili tena so asome miaka minne aweze kuwa na qualification ya kufanya usafi chuo alichosoma sumaye.Sitaki kuingia kiundani kuhusu nini Sumaye amewahi kulifanyia taifa na wala sitaki kuwatofautisha kwa legacy zao ila hichi kidogo tu naona umeona niaje hawa watu wawili hawawezi fananishwa.
Anaropoka kama Gwajiima?Mropokaji Bulembo.. Akianza kuongea kama ana harisha. Hakuna tofauti kati ya Nape na Bulembo
That pity last statement you made lol do you think I care happily you won't read my comments so *** youKumbe Kamanda Mawazo hakuwa na akili! Basi sasa nimeelewa kwanini CCM walikuwa hawataki maiti yake iagwe kwenye viwanja vya furahisha. Na nimepata picha kwanini Watanzania wameikataa UKAWA...maana Mbowe, Lowassa na kundi lao wote walikuwa wakigombania maiti ya mtu ambae hana akili! Basi bila shaka na wao watakuwa hawama akili tu. Kwa mujibu wa kauli yako.
You don't have to reply this statement...because I wont even read your comment. In fact...you're already in my ignore list.