Akihojiwa na mwandishi wa habari pale ikulu wakati wa kuapishwa kwa makatibu wakuu Bulembo amesifia uteuzi.Amenichekesha aliposema Magufuli kachagua vichwa eti kwa kuwa kuna katibu mkuu mteule amekula kiapo bila kusoma karatasi.Haaah haah kumbe ambao wanasoma kiapo sio vichwa
sijajua hizi teuzi, watu wameteuliwa wengine ili kuonekana kukidhi makundi yote ya kijamii na rais apate sifa kwamba anajali makundi yote, au nini. mtaniwia radhi, kuna wengine nimeona kama amewapa mzigo mzito sana ulio juu ya uwezo wao. natarajia kuangalia kama watafanya mabadiliko yeyote, sijui.hapo ndipo nitakuja na kauli, ila sijui?