Bulembo ametia fora

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
57,984
Reaction score
134,134
Akihojiwa na mwandishi wa habari pale ikulu wakati wa kuapishwa kwa makatibu wakuu Bulembo amesifia uteuzi.

Amenichekesha aliposema Magufuli kachagua vichwa eti kwa kuwa kuna katibu mkuu mteule amekula kiapo bila kusoma karatasi.

Haaah haah kumbe ambao wanasoma kiapo sio vichwa.
 
Last edited by a moderator:
Tangu lini msukuma akawa na akili timamu?? Waje arusha tuwaazime zetu
 
Reactions: PNC
Magufuli ni msukuma
Kitwanga ni msukuma
Bulembo ni msukuma

Jiji la kwanza ni Dar Jiji la pili ni Mwanza kwa wasukuma.


Mtanyooka tu.

Mmekalia kujisifu tu kenge Wa njano
 
BULEMBO NI MUHAYA.USIDHANI MAGUFURI ANAMARAFIKI WASUKUMA TU.HATA KWENYE TEUZI ZAKE ANAANGALIA ELIMU SIYO UKABILA
mhaya mnyantuzu msukuma mnyamwezi ikishindikana mkuria mgita wengine basi tu
 
sijajua hizi teuzi, watu wameteuliwa wengine ili kuonekana kukidhi makundi yote ya kijamii na rais apate sifa kwamba anajali makundi yote, au nini. mtaniwia radhi, kuna wengine nimeona kama amewapa mzigo mzito sana ulio juu ya uwezo wao. natarajia kuangalia kama watafanya mabadiliko yeyote, sijui.hapo ndipo nitakuja na kauli, ila sijui?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…