ummy kaunga
New Member
- Jun 10, 2015
- 4
- 6
Habarini? Naomba mnifahamishe sehemu ntakapo pata mbegu za zafaran (saffron bulb) nataka nianze hiki kilimo. Msaada plizz
Hope inawezekana muhimu ni kujaribu, zinahitaji jua la kutosha na ardhi yenye rutuba tuu.Big up mkuu
Hivi inawezekana kulimwa huko maana inalipa haswa
It's the world most expensive spiceHope inawezekana muhimu ni kujaribu, zinahitaji jua la kutosha na ardhi yenye rutuba tuu.
Naomba kujua wapi naweza kupata mbegu. Niko Mkuranga PWANIHabarini? Naomba mnifahamishe sehemu ntakapo pata mbegu za zafaran (saffron bulb) nataka nianze hiki kilimo. Msaada plizz