Hakuna mkoa uliopakana na nchi nyingi kama Kagera tatizo hazijachukuliwa hatua za makusudi ili pawe kitovu cha biashara!
Ni furaha yangu na kwa wote walioweza kuingia mwaka mpya salama lakn pia natoa pole kwa wale wote ambao kwa namna moja ama nyingne wamekutana na vikwazo katika kuumaliza na kuingia mwaka mpya 2012,inshallah Mungu azidi kuwabariki
Ni mda kdogo toka nimepotea hapa jamvini na kikubwa ni kutokana na kuwa safarini Kagera ambako nilipata pia nafasi ya kuhitimisha sikukuu zote mbili za mwisho wa mwaka nikiwa huko,safari yangu hii iliniwezesha kupitia baadhi ya maeneo na mitaa na mambo mengi yakiwemo mazuri bila kuyasahau na mabaya pia katika nyanja mbalmbal za kmaisha kama ifuatavyo
Barabara:Ni jambo la kujivunia kwa wanakagera kwa kuweza kuwa na barabara nzuri na zenye lami kuanzia za kuingia mpaka za mitaani na kwa kiasi kikubwa zikiwa safi
Biashara:Mkoa wa Kagera bado haujafanya vya kutosha katika kuimarisha biashara na kutumia nafasi zilizopo kwa ajiri ya kuwaendeleza wakazi wake,mfano,nimeshangaa kuona mpaka leo hapana kituo cha mabasi chenye hadhi ya kuitwa stand ya mabus kwa maana bado stand ni ndogo na bado ni ya matope,pale kuna connection ya nchi kama 4 na wasafiri wanakutana pale kwenda Uganda,Rwanda,Burundi na hata Kenya..mkoa unahitaji kuliona hili mapema kwa kushirikiana na Mbunge wa Jimbo la Bukoba mjini
Kilimo:katika hili nimevutiwa na kuona wananchi wameamua kuwekeza katika kilimo cha miti ya mbao almaarufu 'mipines',ili linaonekana kuwa pozeo la kupungua kwa uzalishaji wa ndizi na mibuni katika kurekebisha hali ya uchumi na kipato kwa ujumla wananchi sasa wanaona huyu pines ndo mkombozi wao kwa sasa
Habari,Mawasaliano na Burudani:Katika burudani nimependa kuona kuna nyimbo nyingi na nzuri zinazoimbwa na wasanii wa huko na ambazo hazipatikani kwingine bado,hili ni tatzo la kukosa mapromota na wabunifu wa kukuza sanaa,binafsi nimerudi na nyimbo nyingi kias kama atahtaji mtu humu ndani basi anipm,sehemu za kumbi za disco 'night club' bado chache sana japo kdogo zilizopo ni nzuri,nimefurahi kuona kuna vituo vya matangazo 'redio' kama v3 japo naona kuna haja ya kuongeza vingine kama itawezekana pia
do not a book by its cover mkuu.Mkoa wa Kagera una matatizo lukuki sasa wewe umeongelea mjini tu lakini hata mjini mtatatizo mengi.
Mf.sokoni kuchafu saana kwani takataka zinamaliza siku kibao bila kuondolewa.
Mji wa Bk hauna barabara ata moja yenye miti na maua,nyumba nyingi ni za zamani hazifanyiwi ukarabati ata kupaka rangi hamna,bei ya vitu hiko juu kuliko sehemu nyingine mfano mafuta,sukari etc
Rushwa nikama halali hasa maaskari polisi na traffic,vijana wengi hawana kazi maarum,elimu ndo usiseme shule za kata nyingi hazina walimu na vyumba vya maadarasa mf.wanafunzi wakidato cha kwanza wengi wataenda shule mwezi wa nne baada ya january.
Mkuu hii kasumba ya kujisifia hakina nshomire haina nafasi tena wakati matatizo ni chungu nzima.
mkuu mimi Bukoba club nilikua napapendea ulimi wa kuchoma na sato wa kuchoma we acha tu, linas usiseme bado hujafika q bar nk, nili enjoy sana nilipokuwa hukoMkuu ulifika Linas night club? Ni club ndogo lakini ya kisasa na ukiingia huwezi amini upo BK the way watu wanavyo enjoy! Nimemiss Kuku wa kienyeji wa kuchoma pale Bukoba Club,jamaa wanachoma kuku sijawahi ona! Vp supu nzito ya Sato na ndizi juu kwa 1500 tu! Bukoba ni sehemu nzuri ya kupumzika kwakweli maana nilitoka shavu dodo ndani ya wiki!
Mkuu kweli sikuwa shabiki wa ulimi lakini jamaa wa Bukoba club ni mabingwa wa ulimi wa kuchoma! Ukitaka samaki wa kuchoma aliye hai kabisa unaenda baa moja inaitwa Yasila iko ufukweni kabisa,unalamba samaki wa kuchoma fresh from water!! Pale Q club kuna totoz za Kiganda zimejitoa akili kabisaaa! Inaweza wekwa nyimbo ya Beyonce inavyochezwa sasa! Mbaya zaidi wanachojoa mpaka nguo! Kuna RPC aliwapiga marufuku wamiliki kuleta hao waganda cha kushangaza vijana wa mjini wakamaindi ile mbaya! Nasikia waganda bado wanakuja kama kawa! Mji mdogo lakini una mambo ule!mkuu mimi Bukoba club nilikua napapendea ulimi wa kuchoma na sato wa kuchoma we acha tu, linas usiseme bado hujafika q bar nk, nili enjoy sana nilipokuwa huko
mkuu mimi Bukoba club nilikua napapendea ulimi wa kuchoma na sato wa kuchoma we acha tu, linas usiseme bado hujafika q bar nk, nili enjoy sana nilipokuwa huko
Mkuu kweli sikuwa shabiki wa ulimi lakini jamaa wa Bukoba club ni mabingwa wa ulimi wa kuchoma! Ukitaka samaki wa kuchoma aliye hai kabisa unaenda baa moja inaitwa Yasila iko ufukweni kabisa,unalamba samaki wa kuchoma fresh from water!! Pale Q club kuna totoz za Kiganda zimejitoa akili kabisaaa! Inaweza wekwa nyimbo ya Beyonce inavyochezwa sasa! Mbaya zaidi wanachojoa mpaka nguo! Kuna RPC aliwapiga marufuku wamiliki kuleta hao waganda cha kushangaza vijana wa mjini wakamaindi ile mbaya! Nasikia waganda bado wanakuja kama kawa! Mji mdogo lakini una mambo ule!
safi sana mkuu,je vipi uwanja wa ndege,sukari ya mgao!