Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 16,958
- 7,512
Ni mwendelezo wa nilichokiona na katika hatua hii ya mwisho ntajaribu kuongea juu ya mambo yafuatayo
Huduma za jamii,shule za kata ni nyingi matatzo ya shule hzi ni yaleyale ya siku zote ila kuna haja ya kuanzisha vyuo vikuu pale ili kuinua elimu na kurahisha mambo mengine yanayotokana na uwepo wa vyuo vikuu,maji ya bomba kuna upatikanaji wa kuridhisha kdogo japokuwa sehemu nyingi bado wanategemea maji ya asili kutoka mitoni,umeme kdogo naona umeendelea kupatikana japo kuna sehemu kubwa pia bado wanakosa huduma hii muhimu,kuna udhibiti wa sheria za barabarani na katika hili matrafiki wa kule wanaendelea kukamata sana na kuchukua pesa,nawapongeza kwani tofauti na sehemu zingine abiria wa pikipiki sharti nae anakuwa na kofia yake ya kuvaa kichwani,vyakula viko chini sana na bidhaa za dukani kama sukari zinapatikana japo kwa bei ya juu kama kwingineko
Mazingira na usafi,mjini bukoba mji ni msafi kiasi na hii nimeishuhudia askari wakisimamia usafi na kila mtu aliposimama hata mpita njia sharti uokote takataka pembeni mwako,majengo mengi ni ya zamani ambayo panahitajika mengine ya kisasa kama ghorofa,kwa kilimo na kuishi pako sana ukizingatia hata ile mito ya zamani mingi bado inatiririka
Usafiri,kuna usafiri kuanzia baiskeli,pikpk na daladala ambazo zinatoa huduma walau kwa kiwango flani fresh,kuna mabus ya mikoani na mazuri kiasi chake na hata nchi jirani
My take;Niseme wazi kwamba kuna miaka kama 5 imepita mkoa ukiwa immovable kitu ambacho kimeleta uchumi wa mkoa kushuka,hii inatokana na ukweli kuwa mkoa wetu unakosa viongozi dhabiti wenye kutambua maana ya uongozi kwamba badala ya kuwaleta wanamkoa wote kuongelea maendeleo ya mkoa wao wao wamekuwa makuhadi wa unyambo,uyoza,unyayangilo,uangaza n.k,hapa tulipo hatuhtaji viongozi wa hv wanaoshindwa kuonesha njia na dira kwani kila mmoja anafanya kwake tu kama nilvyoona mbunge mmoja kaanzisha shule yake,sawa lakni kwanini usipiganie kuwepo kwa shule za umma nyingi na kutafuta jinsi ya kuzihudumia,wananchi wanahtaji vya kwao sio vya kwako...kazi kwetu
Huduma za jamii,shule za kata ni nyingi matatzo ya shule hzi ni yaleyale ya siku zote ila kuna haja ya kuanzisha vyuo vikuu pale ili kuinua elimu na kurahisha mambo mengine yanayotokana na uwepo wa vyuo vikuu,maji ya bomba kuna upatikanaji wa kuridhisha kdogo japokuwa sehemu nyingi bado wanategemea maji ya asili kutoka mitoni,umeme kdogo naona umeendelea kupatikana japo kuna sehemu kubwa pia bado wanakosa huduma hii muhimu,kuna udhibiti wa sheria za barabarani na katika hili matrafiki wa kule wanaendelea kukamata sana na kuchukua pesa,nawapongeza kwani tofauti na sehemu zingine abiria wa pikipiki sharti nae anakuwa na kofia yake ya kuvaa kichwani,vyakula viko chini sana na bidhaa za dukani kama sukari zinapatikana japo kwa bei ya juu kama kwingineko
Mazingira na usafi,mjini bukoba mji ni msafi kiasi na hii nimeishuhudia askari wakisimamia usafi na kila mtu aliposimama hata mpita njia sharti uokote takataka pembeni mwako,majengo mengi ni ya zamani ambayo panahitajika mengine ya kisasa kama ghorofa,kwa kilimo na kuishi pako sana ukizingatia hata ile mito ya zamani mingi bado inatiririka
Usafiri,kuna usafiri kuanzia baiskeli,pikpk na daladala ambazo zinatoa huduma walau kwa kiwango flani fresh,kuna mabus ya mikoani na mazuri kiasi chake na hata nchi jirani
My take;Niseme wazi kwamba kuna miaka kama 5 imepita mkoa ukiwa immovable kitu ambacho kimeleta uchumi wa mkoa kushuka,hii inatokana na ukweli kuwa mkoa wetu unakosa viongozi dhabiti wenye kutambua maana ya uongozi kwamba badala ya kuwaleta wanamkoa wote kuongelea maendeleo ya mkoa wao wao wamekuwa makuhadi wa unyambo,uyoza,unyayangilo,uangaza n.k,hapa tulipo hatuhtaji viongozi wa hv wanaoshindwa kuonesha njia na dira kwani kila mmoja anafanya kwake tu kama nilvyoona mbunge mmoja kaanzisha shule yake,sawa lakni kwanini usipiganie kuwepo kwa shule za umma nyingi na kutafuta jinsi ya kuzihudumia,wananchi wanahtaji vya kwao sio vya kwako...kazi kwetu