Bukoba: Mji wenye historia lakini kimaendeleo umepitwa na miji mingi sana nchini. Tatizo nini?

Ulichosema ni kweli Mkuu...
Naona ujuaji(u machi nou),fitina fitina za kisiasa,woga na hile hali ya ngoja wote tukose...vimetufikisha hapa tulipo...
Naona ulichosema ktk mtizamo wa UKWELI.
 
Yani hizi mada ni za kitoto sana sana yani tukubali tusikubali mini yetu inalingana tofauti ni ndogo saaana sana hivi ndio inafanya tudharauliane!?????kuna tofauti hani kuuuuuuubwa kati ya Moshi na Bukoba!???? Mimi kwetu Moshi ,old Moshi kidia ila siwezi ponda mji wowote katika mtandao eti ni mbaya !!??that is childish of the highest order
Let's be matured we are Tanzanians
 
Kiimamani Kagera yote ni lango la matatizo vita ugonjwa balaa njaa na matetemeko
Nisehemu ya kuiombea saana
Angalia vita ya kagera mikoa yote ya mipakani hatujawai pata vita japo tuna ma conflict kama ziwa nyasa mipaka ya kilimajaro mt nk
Ugojwa balaa la ukimwi hata ebora inaweza kuingilia mlango huo kama hatuja simama kwenye maombi
Tetemeko la ardhi na maafa kibao
Lkn ni lango la maarifa vile vile nikulibariki kwa maana wasomi ngurii tz wengi kutoka mkoa huu hii neema ni kuombea na kumshukuru Mungu
 
Nilikuwa naenda kuangalia ligi kuu Uingereza maeneo ya Hamghembe cha kushangaza ndani ya kibanda humiza watu wanaongea kihaya tu na mtu hata hakufahamu unakuta anakuongelesha kihaya akizani kila mtu kule ni mhaya.Yaani hata mabishano kuhusu mechi ni kihaya tu.Hata kwenye baadhi ya huduma kama hospitali mapokezi au bar unaongeleshwa kihaya. Dah nilikuwa nashangaa sana.Halafu wengi biashara hawajui ni misifa tu
 
Linganisheni madhari ya majengo haya na Yale ya bukoba mlotuma humu
Hakuna haja ya kuandika mengi.
 

Attachments

  • Screenshot_2020-06-03-23-42-14.png
    Screenshot_2020-06-03-23-42-14.png
    76.8 KB · Views: 5
  • Screenshot_2020-06-03-23-38-46.png
    Screenshot_2020-06-03-23-38-46.png
    65.2 KB · Views: 5
  • Screenshot_2020-06-03-23-38-10.png
    Screenshot_2020-06-03-23-38-10.png
    87.9 KB · Views: 5
  • Screenshot_2020-06-03-23-37-21.png
    Screenshot_2020-06-03-23-37-21.png
    76 KB · Views: 5
  • Screenshot_2020-06-03-23-37-04.png
    Screenshot_2020-06-03-23-37-04.png
    69.5 KB · Views: 4
  • Screenshot_2020-06-03-23-36-51.png
    Screenshot_2020-06-03-23-36-51.png
    96.5 KB · Views: 4
  • Screenshot_2020-06-03-23-35-58.png
    Screenshot_2020-06-03-23-35-58.png
    71.4 KB · Views: 4
  • Screenshot_2020-06-03-23-35-29.png
    Screenshot_2020-06-03-23-35-29.png
    58.1 KB · Views: 4
  • Screenshot_2020-06-03-23-34-18.png
    Screenshot_2020-06-03-23-34-18.png
    67.5 KB · Views: 3
  • Screenshot_2020-06-03-23-32-44.png
    Screenshot_2020-06-03-23-32-44.png
    86.5 KB · Views: 3
  • Screenshot_2020-06-03-23-32-09.png
    Screenshot_2020-06-03-23-32-09.png
    73.2 KB · Views: 3
  • Screenshot_2020-06-03-23-31-52.png
    Screenshot_2020-06-03-23-31-52.png
    47.4 KB · Views: 3
  • Screenshot_2020-06-03-23-31-31.png
    Screenshot_2020-06-03-23-31-31.png
    92.3 KB · Views: 3
  • Screenshot_2020-06-03-23-31-14.png
    Screenshot_2020-06-03-23-31-14.png
    92.9 KB · Views: 3
  • Screenshot_2020-06-03-23-30-47.png
    Screenshot_2020-06-03-23-30-47.png
    64.1 KB · Views: 3
  • Screenshot_2020-06-03-23-29-14.png
    Screenshot_2020-06-03-23-29-14.png
    89.6 KB · Views: 3
  • Screenshot_2020-06-03-23-28-27.png
    Screenshot_2020-06-03-23-28-27.png
    62.4 KB · Views: 4
Linganisheni madhari ya majengo haya na Yale ya bukoba mlotuma humu
Hakuna haja ya kuandika mengi.
Naona picha za mwanza hapo



Mji nzima wa moshi unajengo moja Tu la uchumi.



Huu uchafu ndo unalinganisha na bukoba?
 
Linganisheni madhari ya majengo haya na Yale ya bukoba mlotuma humu
Hakuna haja ya kuandika mengi.
Uchafu gan huo unapost hapa.



Bukoba ndo hii hapa.

Tuone kama utarudia kupost picha za mwanza na uchafu mwingine wa moshi
images%20(22).jpeg
images%20(23).jpeg
images%20(27).jpeg
images%20(21).jpeg
images%20(19).jpeg
images%20(20).jpeg
images%20(25).jpeg
images%20(26).jpeg
images%20(18).jpeg
 
Umamua kuamuka na mji wa bukoba sio



Ukija bukoba husitake ifanane na dar es salaam au mwanza!!

Bukoba ni mji wenye utamaduni wake wa kipekee.


Bukoba kukosa stendi na soko zuri hakuifanyi kuzidiwa na sijui singida,Lindi na miji yako hio.


Vip bukoba mjini kuna shule ngap za private na serikali,kuna hospital ngap?,je bandari hujaiona na meli yake mpya? Kwanza maghorofa hujayaona ? Vip airport hujaiona? Kaitaba stadium hujaiona? Je bukoba mjini nitajie barabara ya vumbi hata moja?

Kwa hiyo we unataka majengo haya makongwe yavunje hujui kuwa historia inabaki.
Ndo maana mji unajemgwa Sana Rwamishenye na kibeta huko.


Acha kudanganya umma na propaganda zako serikali ikiamua kujenga stendi na soko itajenga maana sidhani kama kuna mtu binafsi alishawahi kujenga stendi au soko au barabara tz? Kama yupo mtaje hata kama ni kuwekeza nyumbani.View attachment 1463153View attachment 1463155View attachment 1463156View attachment 1463157View attachment 1463159View attachment 1463160View attachment 1463164View attachment 1463166View attachment 1463167
Mbezi temboni njia ya saranga ile lami katandika mtu binafsi watu wanayo mishiko ndugu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom