Bukoba: Mji wenye historia lakini kimaendeleo umepitwa na miji mingi sana nchini. Tatizo nini?

Akilitime

JF-Expert Member
Dec 27, 2017
581
757
Bukoba ni moja kati ya manispaa za kihistoria kabla na baada ya Uhuru.

Lakini ajabu huu mji umebaki historia ya maneno na sifa za kihaya tu

Kwanza ukifika bukoba mjini utadhani upo wilaya ya Nachingwea. Yani manispaa haina hata stand. Kipo kistand cha kuzugia kimejaa mashimo na vumbi.

Ukifika bukoba mjini utakitana na majumba ya zamani sana itahisi upo Newala.
Bukoba imepitwa hata Singida.
Eti bukoba ijilinganishe na kilimanjaro?
Ukweli ni kwamba Manispaa ya bukoba imefanana na mji mdogo Hai Boma.

Bukoba kwasasa imebaki kwenye ranks za mikoa ya Tabora. Ruvuma. Lindi. Katavi. Simiyu. na Songwe.

Bukoba inaongoza kuwa na wasomi wengi kwanini maendeleo mengine hayaonekani? Je tatzo liko wapi? Ni serikali au jamii ya Bukoba kutopenda kwao?
Hata wawekezaji kule hamuna kabsa.

Karibu maprofesa. Natajiri mliojichimbia huko Dar. UK na USA mkaijenge Bukoba yetu. Kwasasa kilichopo ni aibu tupu.

Tujipende na tupende wa nyumbani
 
Waje kwa wachaga tuwafundshe maana ya maendeleo
Wachaga Ni wasomi na Wana maendeleo
Sasa Hawa wenzetu kagera wanaojiita wasomi alafu mkoa wao Ni top ten ya mikoa maskini hapo inashangaza

Mimi sio mchaga lakini I appreciate you guys. Mmepiga hatua sana. Ukiingia Moshi utadhani upo USA ndogo. Vijijini ndo usiseme. Uzuri wenu mnajipenda sana alafu hampendi anasa sana bila kufanya kazi
 
Niliwahi kwenda mwaka 2012, nilipapenda tu mji umetulia, hali ya hewa mwanana, suala la maendeleo kama hadi sasa bado basi wajitafakari na kuchukua hatua,

Kitu ambacho sikupenda ilikua kushangaliwa, aisee watu wanashangaa hadi unajikwaa, lol
Hope na hili wame improve.
Ushamba unawasumbua wengi hawana exposure ya kutembea Ni kawaida kukuta mtu Ana miaka 40 lakini hajawah Toka nje ya mkoa huo
 
Unatumia kigezo gani kupima maendeleo ya miji Mkuu?

Bukoba ipi hasa unaielezea maana huenda siyo Bukoba ninayoifahamu Mimi.Unafahamu moja ya Wilaya yenye access nzuri ya usafiri wa anga Nchini ni Bukoba.Ulishauona uwanja wa ndege wa Bukoba?

Unafahamu kumbi za starehe za Mint zina access ya huduma nyingi kuliko huduma zinazopatikana kwenye kumbi zilizopo katika miji mikubwa ukiwemo mji wa Dar es Salaam?.

Ulishakatiza kwenye Cathedral za Roma zilizopo Bukoba?.Au ulishapita pale Kaitaba Stadium?.. Nimekaa Kashozi (West ends) maisha ya Bukoba ni kama upo kwenye mji mkubwa kabisa huwezi kulinganisha na Katavi.

Katavi takwimu zinaonesha mwaka 2017 ulikuwa ni mkoa unaoongoza kwa kuwa na hali mbaya kiafya ukifuatilia na Geita.Bukoba hapana hadhi duni kiasi hicho ulichoandika hapo.

Nani alikudabganya kuwa wasomi wa Bukoba hawawekezi kwao?.umefanya utafiti ukalibaini hill au umetumia tu hisia?.

Na je huwezi kuitaja Bukoba bila kusifia Kilimanjaro?.
 
Niliwahi kwenda mwaka 2012, nilipapenda tu mji umetulia, hali ya hewa mwanana, suala la maendeleo kama hadi sasa bado basi wajitafakari na kuchukua hatua,

Kitu ambacho sikupenda ilikua kushangaliwa, aisee watu wanashangaa hadi unajikwaa, lol
Hope na hili wame improve.
Nilipita hapo mwaka jana, pako vile vile..kushangaa watu hawashangai ila kuzungumza kilugha ndio ilinishangaza.

Mimi nilipapenda sana, pamekaa natural, na patulivu mno.
Wangeboresha miundombinu tu ingetosha.
 
Unatumia kigezo gani kupima maendeleo ya miji Mkuu?
Bukoba ipi hasa unaielezea maana huenda siyo Bukoba ninayoifahamu Mimi.Unafahamu moja ya Wilaya yenye access nzuri ya usafiri wa anga Nchini ni Bukoba.Ulishauona uwanja wa ndege wa Bukoba?
Unafahamu kumbi za starehe za Mint zina access ya huduma nyingi kuliko huduma zinazopatikana kwenye kumbi zilizopo katika miji mikubwa ukiwemo mji wa Dar es Salaam?.
Ulishakatiza kwenye Cathedral za Roma zilizopo Bukoba?.Au ulishapita pale Kaitaba Stadium?.. Nimekaa Kashozi (West ends) maisha ya Bukoba ni kama upo kwenye mji mkubwa kabisa huwezi kulinganisha na Katavi.
Katavi takwimu zinaonesha mwaka 2017 ulikuwa ni mkoa unaoongoza kwa kuwa na hali mbaya kiafya ukifuatilia na Geita.Bukoba hapana hadhi duni kiasi hicho ulichoandika hapo.
Nani alikudabganya kuwa wasomi wa Bukoba hawawekezi kwao?.umefanya utafiti ukalibaini hill au umetumia tu hisia?. Na je huwezi kuitaja Bukoba bila kusifia Kilimanjaro?.

Unakuwa na access nzuri ya usafiri wa anga, halafu unashindwa kuwa na stend nzuri ya magari ambayo ndio yenye watumiaji wengi?
Stend hovyo, utadhani ya punda!
 
Unakuwa na access nzuri ya usafiri wa anga, halafu unashindwa kuwa na stend nzuri ya magari ambayo ndio yenye watumiaji wengi?
Stend hovyo, utadhani ya punda!
Anataka wote tupande mwewe,
Pangu pakavu mimi nitakoma mbona, nikitaka kuona maisha mazuri nipande mwewe, siwezi, nikapambane na stand chafu,
Mawazo ya Mtanzania hayo.
 
Nilipita hapo mwaka jana, pako vile vile..kushangaa watu hawashangai ila kuzungumza kilugha ndio ilinishangaza.

Mimi nilipapenda sana, pamekaa natural, na patulivu mno.
Wangeboresha miundombinu tu ingetosha.
Yes, hata mimi nilipapenda sana, patulivu, mandhari ya kuvutia, uzuri nilikua na wageni, tulianzia Bk tukaenda Mwanza, na wao walisema Bk wamepapenda zaidi,
Hopefully nitarudi tena.
 
Unakuwa na access nzuri ya usafiri wa anga, halafu unashindwa kuwa na stend nzuri ya magari ambayo ndio yenye watumiaji wengi?
Stend hovyo, utadhani ya punda!
Bukoba ni moja kati ya manispaa za kihistoria kabla na baada ya Uhuru.

Lakini ajabu huu mji umebaki historia ya maneno na sifa za kihaya tu

Kwanza ukifika bukoba mjini utadhani upo wilaya ya Nachingwea. Yani manispaa haina hata stand. Kipo kistand cha kuzugia kimejaa mashimo na vumbi.

Ukifika bukoba mjini utakitana na majumba ya zamani sana itahisi upo Newala.
Bukoba imepitwa hata Singida.
Eti bukoba ijilinganishe na kilimanjaro?
Ukweli ni kwamba Manispaa ya bukoba imefanana na mji mdogo Hai Boma.

Bukoba kwasasa imebaki kwenye ranks za mikoa ya Tabora. Ruvuma. Lindi. Katavi. Simiyu. na Songwe.

Bukoba inaongoza kuwa na wasomi wengi kwanini maendeleo mengine hayaonekani? Je tatzo liko wapi? Ni serikali au jamii ya Bukoba kutopenda kwao?
Hata wawekezaji kule hamuna kabsa.

Karibu maprofesa. Natajiri mliojichimbia huko Dar. UK na USA mkaijenge Bukoba yetu. Kwasasa kilichopo ni aibu tupu.

Tujipende na tupende wa nyumbani
Umamua kuamuka na mji wa bukoba sio



Ukija bukoba husitake ifanane na dar es salaam au mwanza!!

Bukoba ni mji wenye utamaduni wake wa kipekee.


Bukoba kukosa stendi na soko zuri hakuifanyi kuzidiwa na sijui singida,Lindi na miji yako hio.


Vip bukoba mjini kuna shule ngap za private na serikali,kuna hospital ngap?,je bandari hujaiona na meli yake mpya? Kwanza maghorofa hujayaona ? Vip airport hujaiona? Kaitaba stadium hujaiona? Je bukoba mjini nitajie barabara ya vumbi hata moja?

Kwa hiyo we unataka majengo haya makongwe yavunje hujui kuwa historia inabaki.
Ndo maana mji unajemgwa Sana Rwamishenye na kibeta huko.


Acha kudanganya umma na propaganda zako serikali ikiamua kujenga stendi na soko itajenga maana sidhani kama kuna mtu binafsi alishawahi kujenga stendi au soko au barabara tz? Kama yupo mtaje hata kama ni kuwekeza nyumbani.
FB_IMG_15903968379276205.jpeg
images%20(2).jpeg
images%20(54).jpeg
images%20(16).jpeg
images%20(4).jpeg
images%20(9).jpeg
images%20(24).jpeg
FB_IMG_15880875428720539.jpeg
FB_IMG_15899746006379273.jpeg
 

Attachments

  • FB_IMG_15905072582985296.jpeg
    FB_IMG_15905072582985296.jpeg
    36.2 KB · Views: 4
Bukoba ni moja kati ya manispaa za kihistoria kabla na baada ya Uhuru.

Lakini ajabu huu mji umebaki historia ya maneno na sifa za kihaya tu

Kwanza ukifika bukoba mjini utadhani upo wilaya ya Nachingwea. Yani manispaa haina hata stand. Kipo kistand cha kuzugia kimejaa mashimo na vumbi.

Ukifika bukoba mjini utakitana na majumba ya zamani sana itahisi upo Newala.
Bukoba imepitwa hata Singida.
Eti bukoba ijilinganishe na kilimanjaro?
Ukweli ni kwamba Manispaa ya bukoba imefanana na mji mdogo Hai Boma.

Bukoba kwasasa imebaki kwenye ranks za mikoa ya Tabora. Ruvuma. Lindi. Katavi. Simiyu. na Songwe.

Bukoba inaongoza kuwa na wasomi wengi kwanini maendeleo mengine hayaonekani? Je tatzo liko wapi? Ni serikali au jamii ya Bukoba kutopenda kwao?
Hata wawekezaji kule hamuna kabsa.

Karibu maprofesa. Natajiri mliojichimbia huko Dar. UK na USA mkaijenge Bukoba yetu. Kwasasa kilichopo ni aibu tupu.

Tujipende na tupende wa nyumbani
Da Mkuu Leo umeamuamua kutukana kama sio kushusha kabisa Bukoba nyumbani kabisa nilipokulia ,mungu anakuona ,
Na tabia ya kila siku kuwa mna wadisi wahaya ikome mama hapa tz hakuna kabila lisilo na mapungufu .ningekua najua matusi hapa nilitakiwa weka bonge la tusi ila itoshe kusema wakomeni wahaya
 
Yes, hata mimi nilipapenda sana, patulivu, mandhari ya kuvutia, uzuri nilikua na wageni, tulianzia Bk tukaenda Mwanza, na wao walisema Bk wamepapenda zaidi,
Hopefully nitarudi tena.
Hao ni watu wa kaskazini na moshi huko huwa hawapendi wao wapitwe au pengine pawe pazuri kuliko huko kwao.


Yaan kukosekana Kwa stendi ya lami na soko zuri bukoba kunapafanya pazidiwe sijui kahama, singida,moshi Kwa sababu serikali imejenga hiyo miradi huko?

Hiv bukoba kitu gan mtu unaweza kosa? Mpira kaitaba IPO, club zimejaa,beach kibao ,hotel kibao,shule ndo kabisa, hospital kanisa linazo nyingi kuliko serikali . airport IPO,bandari IPO? Sasa sijui wanataka tulete na mlima Kilimanjaro?.

Eti wasomi wengi wajenge stendi
Ni wap tz kuna stendi ya mtu binafsi ?




Kiukweli sjawahi ona sehemu nzr ya kuishi kama bukoba tz nzima
 
Unakuwa na access nzuri ya usafiri wa anga, halafu unashindwa kuwa na stend nzuri ya magari ambayo ndio yenye watumiaji wengi?
Stend hovyo, utadhani ya punda!
Ilaumu serikali sasa sio watu WA bukoba!!


Halafu serikali sio wajinga kujenga uwanja mzr vile bukoba. Kuna abiria wengi huko ukitaka naleta ushahidi.
 
Back
Top Bottom