Bucha ya wachina

kingfish

JF-Expert Member
Apr 15, 2011
571
159
Nyama safi kabisa
 

Attachments

  • chines.jpg
    chines.jpg
    37.1 KB · Views: 173
ni kweli ni chakula kitamu sana.....................lol atafaidi kweli

Acha mambo yako wewe, huo ni mshipa mgumu kuliko hata mfupa!, wachina wanakula kutokana na imani yao kwamba ukiwa unakula nyoka unaishi muda mrefu. Hakuna utamu wowote- nina ushahidi wa kuona sio wa kusikia
 
Acha mambo yako wewe, huo ni mshipa mgumu kuliko hata mfupa!, wachina wanakula kutokana na imani yao kwamba ukiwa unakula nyoka unaishi muda mrefu. Hakuna utamu wowote- nina ushahidi wa kuona sio wa kusikia

kwani tunabishana mkuu? that is according to me na pengine ndivyo nilivyoliona. na wewe ungeeleza according to ya kwako. i stand to say chakula kitamu......................atafaidije?
 
Pita mitaa ya Ruaha baada ya kuvuka mikumi kuelekea Iringa utakuta Mamba wanavyopikwa,

Ukionja utarudi tena . LAZIMA
 
Pita mitaa ya Ruaha baada ya kuvuka mikumi kuelekea Iringa utakuta Mamba wanavyopikwa,

Ukionja utarudi tena . LAZIMA
mgeni10 bagamoyo kuna mtu anafuga mamba na anachinja mara moja kwa mwezi.
 
Last edited by a moderator:
nahisi hii kitu tamu mno kushinda hata ile KITIMOTO

tatizo vitu vyote vitamu MISAHAFU INAZUIA ila ingeruhusu tuu..chukulia mfano
1..kitimoto
2..pombe
3..zinaa

vyote hivi vimepigwa ban
 
Du kumbe wachina wanafaidi sana ngoja na mimi nitaioja siku moja nione ladha yake.
 
Back
Top Bottom