Bucha ya kukodi inahitajika

Bucha ya kukodi inahitajika

Loveeness78

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2016
Posts
280
Reaction score
294
Heshima kwenu wakuu.

Nahitaji butcha ya kukodi jijini Dar es saalam. Kwaajili ya kuuza nyama ya ng'ombe, kama ikiwa navifaa baadhi itakuwa vizuri zaidi. Ila hata kama haina vile vifaa basic za kuuzia ila iwe butcha nitashukuru pia.
Mi nipo maeneo ya Bunju, kama ikipatikana mitaa ya karibu na nilipo nitashukuru, na ikiwa mbali pia nitaangalia kama naweza kufika.

Mwenye kujua au kuwa nayo ataniambia hapa public au hata PM.

Natanguliza shukrani kama nitawezeshwa kuipata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa nini usichukue frem ukaikarabati kiwango cha butchey
 
Back
Top Bottom