Yule kocha wa zamani wa kikosi cha senegal aliyekipeleka fainali ya mataifa afrika 2002 na robo fainali ya kombe la dunia bruno metsu amefariki dunia leo kwa maradhi ya kansa ya tumbo.. Source magazeti ya leo ufaransa
Ndicho ninachowapendea wazungu (ambacho waswahili- especially wa mlengo fulani - tumeamua kushindwa kukielewa). Ukitaka kufanikiwa kukifanya unachokitaka mahali ambapo hapana culture yako jifanye wewe ni mmoja wao. Kujiita Abdullah (just as MJ or Classious Clay did) was a gimmick! Lakini kuna watu hapa na pengine popote watasema kingine!
Ndicho ninachowapendea wazungu (ambacho waswahili- especially wa mlengo fulani - tumeamua kushindwa kukielewa). Ukitaka kufanikiwa kukifanya unachokitaka mahali ambapo hapana culture yako jifanye wewe ni mmoja wao. Kujiita Abdullah (just as MJ or Classious Clay did) was a gimmick! Lakini kuna watu hapa na pengine popote watasema kingine!
Yule kocha wa zamani wa kikosi cha senegal aliyekipeleka fainali ya mataifa afrika 2002 na robo fainali ya kombe la dunia bruno metsu amefariki dunia leo kwa maradhi ya kansa ya tumbo.. Source magazeti ya leo ufaransa