Wachovu
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 1,227
- 565
Demokrasia gani ya kuweka wezi kuongoza taifa Hata kama Lowassa angeshinda kihalali asingepewa nchi ! Ni mwizi, nchi sio kupiga kura tu na kupewa , tulishajifunza toka kwa wenzetu , Hilter alishinda uchaguzi kwa kura , watu walizungusha mikono kwa ushabiki wakampa nchi , baadae ikawa kilio cha dunia mzimaMi nashangaa watu wanaongelea ya zanzibar tu kuboronga uchaguzi,wakati hata lowassa ameporwa ushindi wake.Lakini bahati nzuri malipo ni hapa hapa duniani,wale viongozi wa sekta mbalimbali waliosaidia kupora uchaguzi ili magufuli ashinde,wameshafukuzwa kazi,au watafukuzwa kazi siku yoyote au mishahara yao imefyekwa.Shukrani ya punda...najua huko waliko wanalia na kusaga meno!Na bado..