FDR.Jr
JF-Expert Member
- Jun 17, 2008
- 1,359
- 353
Tanzania imempoteza mpiganaji brig. General v.a. Fungo jmosi usiku hapo lugalo military hospital na leo anazikwa kinondoni makaburini,kuanzia saa 7mchana huu baada ya misa na kuuaga mwili wake kule mbezi beach nyumbani kwake. Amezaliwa 1953 ngoheranga malinyi ulanga morogoro.
Rip mwana wa pakaya brig. General v.a. Fungo
Rip mwana wa pakaya brig. General v.a. Fungo