Bright eyes
JF-Expert Member
- Dec 7, 2021
- 205
- 272
Hivi unakisoma unakiandika ? Kina click kichwani ?Hata wale wasio na master tayari wapo wenye kampuni, hivyo kuwa na kampuni sio kwa sababu ya kuwa master ya BBA ingekuwa hivyo kampuni zingekuwa nyingi sana maana wenye BBA ni wengi sana.
Unatoka master unarudi VETA nyie acheni utani ! Ipo siku tutaona mtu ana Phd yupo veta halafu akashangiliwa na watu wa JF!
Tumieni muda vizuri.
Hakikisha unaelimika vizuri ukiwa chuoni.
Hakikisha unatumia elimu yako vuzuri kubuni kazi.
Soma vocational skill muda wa likizo kama huna hela ya chuo nenda workshop ujifunze kwa vitendo kila likizo.
Chagua masomo vizuri ili usije rudia hatua nyuma.
Acheni kusoma kwa mihemko.
Tumieni career developer/ phychologist / mentor/ gurus/ Teachers/ ndugu kuwapa muongozo mzuri.
Tumieni mitandao vixuri kupata mwongozo sio kujifnya unajua nwishowe unakosea.
Kuna baadhi ya vijana wanaitumulia mitandao vizuri maana huuliza na kuomba ushauri kabka hawajasoma au kabla ya kwenda master hivyo wengine muige.
In this world everything is about money we kalia hayo mavyeti yako wenzako wanacheki fursa za kutoboa na wanatoboa wewe baki na mivyeti yako uendelee kulipwa laki 5Hata wale wasio na master tayari wapo wenye kampuni, hivyo kuwa na kampuni sio kwa sababu ya kuwa master ya BBA ingekuwa hivyo kampuni zingekuwa nyingi sana maana wenye BBA ni wengi sana.
Unatoka master unarudi VETA nyie acheni utani ! Ipo siku tutaona mtu ana Phd yupo veta halafu akashangiliwa na watu wa JF!
Tumieni muda vizuri.
Hakikisha unaelimika vizuri ukiwa chuoni.
Hakikisha unatumia elimu yako vuzuri kubuni kazi.
Soma vocational skill muda wa likizo kama huna hela ya chuo nenda workshop ujifunze kwa vitendo kila likizo.
Chagua masomo vizuri ili usije rudia hatua nyuma.
Acheni kusoma kwa mihemko.
Tumieni career developer/ phychologist / mentor/ gurus/ Teachers/ ndugu kuwapa muongozo mzuri.
Tumieni mitandao vixuri kupata mwongozo sio kujifnya unajua nwishowe unakosea.
Kuna baadhi ya vijana wanaitumulia mitandao vizuri maana huuliza na kuomba ushauri kabka hawajasoma au kabla ya kwenda master hivyo wengine muige.
Umeelewa nachosimamia kwenye huu uzi?In this world everything is about money we kalia hayo mavyeti yako wenzako wanacheki fursa za kutoboa na wanatoboa wewe baki na mivyeti yako uendelee kulipwa laki 5
Watu siku hizi wanacheki wapi kwenye mtonyo a uhakika.
Binafsi nina kashahada fulani kananipa ugali tu ila nataka niingie veta nipigie short course fulani nianza piga side hustle ikiwezekana niingie kitaa mazima maana fursa naiona
We kalia micheti yako na attitude zako
Hata angekuwa chuo likixo au week end unaji attach kwa workshop.Baada ya kumaliza form four angeenda VETA
Umeelewa nachosimamia kwenye huu uzi?
Mkuu sipingi watu kusoma veta, napinga watu kutumia muda vibaya na kichsgua koxi kwa mihemko.
Hizo fursa ulizoziona basi watu wazichangkie mapema sio wa
Some kufuata madarasa bali waangalie soko lipoje.
Wewe unaenda veta kuongeza side hustle ni sawa , sio mtu anapiga master,anakosa muelekeo ndio anachagua veta.
Veta waende wakiwa shuleni muda wa likizo au wajifunze ujuzi wowote mtaani wakiwa bado wapo shule wasisubiri kufuliandio waende vocational.
Mi binafsi nilijifunza kusuka nyungo ila huo ujuzi sijautumia kwa kuwa sina muda ila nimejipanga ntautumis huo ujuzi na ntaongezea ubunifu wangu mwenyewe na nimeona ukijifunza kusuka nyungo unaweza tumia formula ile kusuka mikeka, vikapu, mazuria, mapambo nk
Nilipokuwa dip nilitumia muda wa likizo kusoma comp application( excel power point, words), sasa hivi najiongezea mwenyewe adv xcel na VBA ili niweze kuwa full package ms app
kwa hio sipingani na wewe kupata ujuzi wa aina yoyote ile ila tusisubiri kukosa ajira ndio tutafute ujuzi wa ufundi kwani ufundi upo mwingi tu mtaani ni muda wako tu na maamuzi tena unaweza fundishwa bila hela.
Oya, umezinguaAmeandikwa kwa sababu amemaliza master vipi wale waliomaliza la7 na kwenda veta kujifunza huo ufundi, si watakuwa mbali zaidi kiufundi kuliko huyo mdada.
Huyo dada ameshindwa kuibadili digrii ya BBA kuwa pesa mpaka kaamua kurudi veta kozi ya la7.
Vocational skill anaweza kujifunza hata ambae hajasoma shule kabisa, sio mchongo wa maana.
Amesoma kozi za ujasilia mali ameshindwa kuwa mjasiliamali kaamua kuwa fundi hivyo wajanja watamtumia kupiga pesa.
Yeye alitakuwa afanye business sio ufundi hatotoboa.
Jifunzeni kutambua vitu mapema, kwa kuwa mlichelewa kujitambua basi fanyeni hivyo kwa ndugu zenu,watoto wenu wanafunzi nk.Wee nawe ... tatizo umekariri Sana yaani umezoea kumeza madesa..
mambo mengine mtu anakuja kuwa na interest nayo baadae sio lazima akiwa mdogo shule sijui chuo,
Mambo yanabadilika Kila siku kadiri technology inavyokua na hivyo hivyo skills mpya zinazaliwa.
Pengine happy kabla sikupenda useremala Wala sikua na passion Wala wazo la useremala lakini mabadiliko ya technology yakanifanya nivutiwe na sekta hiyo.
Vitu vingine unajikuta unavipenda au kuwa na interest navyo kadri siku zinavyoenda Kama huyo ndugu hapo juu amesema YouTube, kuangalia documentary kumemsababishia kuvutiwa na vitu vipyana angalia uou tu
Kwahiyo ukisoma BCOM inabidi ukasimamie biashara za watu, huwezi ukafungua biashara yako ukatumia hiyo BCOM kuisimamia kama alivyofanya huyu?Angekuwa na nia kweli angesoma diploma ya ufindi yeye akaenda BCOM halafu akachange gia angan.
Miaka sita ukiwakeza kwenye technical skill unakuwa nondo vibaya unaweza unda hata computer au ndege.
Yeye alipenda biashara amegundua kuwa atakuwa anasimamia biashara za watu.
Binafsi mtu aliesoma course za sayansi akienda veta ajiongezee ujuzi simshangai maana hayo ni maeneo yake ya kujidai ila wa BCOM au Sociology atakuwa amepuyanga vibaya.
Acha ubishi Huyo dada ana kampuni, na anamafundi wanaofanya hizo kazi yeye ni mara chache sana kuwa site, kazi yake kubwa ni kutafuta tenda na kufanya dizaining ya kile mteja anataka, Sasa utasemaje masters yake haijamsaidia si kasomea business administration Kwani anayofanya sio bisness?? Kwenda veta ni kuongeza ufahamu juu ya idea ya biashara anataka kufanya, utasemaje amepoteza muda?? Kwamba masters haina kazi?Mkuu hivi unaweza kupewa tenda kubwa ya kusambaza assets ukiwa huna kampuni ?
Kwa hio hata kujifilia na kufagia ndani eti ni career choice?Hivi unakisoma unakiandika ? Kina click kichwani ?
Sasa alieamua kusoma vocational Wakati wa likizo akiwa chuo na alieamua Kumaliza chuo akaenda hiyo vocational ..Wana utofauti gani Sasa ?
Yani wewe shida yako ni kwamba kwanini karudi kusoma veta wakati ana Masters haha . Kwamfano angeamua kufundishwa na fundi seremala nyumbani ...bado ungekompleini ?
Mbona hushangai ana Masters alafu anapika chakula au anafanya usafi ....kupika na housekeeping ni vocational piaa. Ukiona mtu kaenda kusomea hizo ni ili uwe kiprofesional zaidi
Kuna watu nawajua hawajawahi shika nyundo ila wanauza asset, hao ndio wafanya biasharaKwahiyo ukisoma BCOM inabidi ukasimamie biashara za watu, huwezi ukafungua biashara yako ukatumia hiyo BCOM kuisimamia kama alivyofanya huyu?
Ndio shida ya elimu zetu hizi sometimes zinakuwekea mipaka ya kufikiri
Kichwa cha habari hakikusema hivyo hii ni nyongeza yako. Kingesema hivyo ningeunga mkono.Huyo dada ana kampuni, na anamafundi wanaofanya hizo kazi yeye ni mara chache sana kuwa site
Kwani nani kasema hana MBA ?umdeldwa kiini cha mjadala au unakurupuka tu.Mjifunze kusechi info zaidi za mtu, na sio kujiandikia tu unaishia kuonekana huna la maana.
Ana MBA, utafikiri mtu haitumii kwenye business yake.
Mjiongeze aiseee, unatia aibu na wenzako wengine humu. Acheni wivu.
Jamaa linaponda hapo sijui lina akili sawa sawa kweliMimi sielewi hoja nini? Huyu mama ana degree ya bussiness na masoko na anafanya businesss cha ajabu nini? Alisomea business afanye bussines.Ndivyo inatakiwa