BRELA, TRA, TIC watoe notisi kuhakiki makampuni!

BRELA, TRA, TIC watoe notisi kuhakiki makampuni!

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
16,099
Reaction score
24,338
kufuatia Ripoti ya Wachina Kariakoo , lakini pia mikoa mingine, inahitajika hatua zifuatazo zichukuliwe na Serikali :

  1. Mawakili pekee ndio wapewe access ya kufungua na kufunga kampuni.
  2. Mawakilo wapewe jukumu la lazma kudhibitisha beneficial owner.
  3. Mawakili wanaposajili kampuni, share holders lazma wajue, kinachofanyika mchina anachukua NIDA ya dada wa kazi toka Buza anambiwa kwajili ya mkataba wa ajira lakini ukweli yeye ndio director, hivyo waliopewa share walipwe.
  4. Ukaguzi huu ussishie kwenye kampuni za wachina, ila makampuni mengi lakini wamenunua hata ardhi kwa majina ya wazawa bila hata wazawa kujua kama. info zao zimetumika huko Ardhi na TRA.
Tumsaidia Mh Samia kwenye hili, bila sisi mwenyewe hatoweza.
 
Kwa mawakili bado kuna loop hole. Inatakiwa kuwa na chain. Ya watu si chini ya watano ndio watoe apporval, tena wakiwa wamejihakikishia kwa uchunguzi kwamba kampuni haifai
 
Wachina ni wahuni tu,si Bure trump ndo mana hawapendi kabisaaaa
 
Kwa mawakili bado kuna loop hole. Inatakiwa kuwa na chain. Ya watu si chini ya watano ndio watoe apporval, tena wakiwa wamejihakikishia kwa uchunguzi kwamba kampuni haifai
Wakili ana leseni na kiapo.
Wakili anafahamika anapopatikana.
Wakili anakuwa anajisajili BRELA kwa namba yake ya simu na NIDA , ,hutaona utapeli ila hii ya sasa hivi steshenari za Kariakoo na mnazi mmoja mtu anasajili Kampuni tu , aisee lazma haya mambo tuyaone sana.
 
Back
Top Bottom