Wapambanaji wenzangu, naomba mnijuze kama BRELA wana tawi huku ili nifike mara moja nikafanye usajili. Kuna kipindi nilisikia wanafungua matawi mikoa mingine mbali na DSM, je kwa huku Arusha vip,wapo?
Wapambanaji wenzangu, naomba mnijuze kama BRELA wana tawi huku ili nifike mara moja nikafanye usajili. Kuna kipindi nilisikia wanafungua matawi mikoa mingine mbali na DSM, je kwa huku Arusha vip,wapo?
Mkuu unataka kusajili nini??kuna baadhi ya huduma wanazitoa online mfano kusajili jina la biashara etc,,binafsi nimesajiri jina la biashara online juzi tu
Mkuu unataka kusajili nini??kuna baadhi ya huduma wanazitoa online mfano kusajili jina la biashara etc,,binafsi nimesajiri jina la biashara online juzi tu
Mkuu unataka kusajili nini??kuna baadhi ya huduma wanazitoa online mfano kusajili jina la biashara etc,,binafsi nimesajiri jina la biashara online juzi tu