adakiss23
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 4,474
- 4,262
http://www.azamfc.co.tz/news/club-n...-watoa-ofa-ya-milioni-25-yanga-waishia-milion
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Ushuzi mtupu,unavyoiona Yanga unafikiri itashindwa ku'cover hiyo gap iliyoko baina ya offer ya Simba na Yanga,unafikiri sisi tunategemea rambirambi kuongeza mfuko wa kusajili?
Hata mimi binfsi naweza ku'cover hiyo difference,millioni 6 kitu gani?,Ngassa hachezi Simba ng'o...kwanza Simba wenyewe licha ya kumtamani hawawezi kumsajili.
Wewe mbona unatuchanganya, sredi nyingine unasema Simba wamemsajili huku unasema Simba hawawezi kumsajili, so which is which?Ushuzi mtupu,unavyoiona Yanga unafikiri itashindwa ku'cover hiyo gap iliyoko baina ya offer ya Simba na Yanga,unafikiri sisi tunategemea rambirambi kuongeza mfuko wa kusajili?
Hata mimi binfsi naweza ku'cover hiyo difference,millioni 6 kitu gani?,Ngassa hachezi Simba ng'o...kwanza Simba wenyewe licha ya kumtamani hawawezi kumsajili.
Wewe mbona unatuchanganya, sredi nyingine unasema Simba wamemsajili huku unasema Simba hawawezi kumsajili, so which is which?
Hizi timu zinatuchosha sasa, mimi nataka niwekeze nguvu zangu za kushabikia kwenye timu yangu ya zamani ya Pamba wana Lindanda bila kujali iko daraja la ngapi.Mkuu naombanifute kauli yangu,unajua nilisahau kabisa kuwa Godfrey Nyange Kaburu(Kiongozi wa harakati za usajili za Simba) ana akili pungufu kidogo ya akili zile za kawaida za Mwanadamu timilifu,wakati mwenye akili yeyote timamu asingeweza kufanya hivyo lkn yeye aki'collude na Viongozi wa team yao nyingine ya Azam wamelitekeleza hilo katika kile kinachoonyesha kutaka kumkomoa Ngassa,sasa tayari Ngassa ameshaukana uhamisho huo ya kwamba yeye hajashirikishwa...embu tusubiri tuone sakata hili litaishia wapi.
Hizi timu zinatuchosha sasa, mimi nataka niwekeze nguvu zangu za kushabikia kwenye timu yangu ya zamani ya Pamba wana Lindanda bila kujali iko daraja la ngapi.
Back to the topic; Hapa mimi naona pande zote tatu zina makosa, Ngasa kuwaprovoke Azam kwa kubusu logo ya Yanga hadharani, Azam nao kukubali kirahisi kuwa provoked na kuchukua maamuzi haraka ya kumuuza kama wanavyouza ice cream, Kaburu nasema tena Kaburu na sio Simba kukubali kuuziwa mchezaji kwa ajili ya kumpeleka Simba bila kuongea naye.
Kwani Ngassa kubusu jezi ya Yanga kuna kosa gani? Binafsi nahisi maamuzi ya Azam yamechanganyika na hasira ya kukosa kombe.
Fine mnampeleka Simba, je yeye kama Ngassa ameridhia?
Nakubaliana na wewe 1 kwa 1, kwa akili ya Kaburu pale mwenyewe anaona kapiga boonge la bao,si ajabu kwake anaona it's a good revenge to Yondani issue,bila kujali Club yake itanufaika na hiyo anayoiona kama revenge au la....Ngassa atacheza Simba?
Ushuzi mtupu,unavyoiona Yanga unafikiri itashindwa ku'cover hiyo gap iliyoko baina ya offer ya Simba na Yanga,unafikiri sisi tunategemea rambirambi kuongeza mfuko wa kusajili?
Hata mimi binfsi naweza ku'cover hiyo difference,millioni 6 kitu gani?,Ngassa hachezi Simba ng'o...kwanza Simba wenyewe licha ya kumtamani hawawezi kumsajili.