Watu wasiojulikana wamevamia kwenye Jengo lisilo julikana wakiwa na silaha zisizo julikana na kufanya tukio lisilo julikana na kumtekanyara mtu mmoja asiye julikana na kutokomea naye kusiko julikana wakiwa na gari lisilo julikana -.......!
:-chanzo
TV isiyojulikana