Breaking news

Ushimen

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
42,412
Reaction score
104,848
Rais Mugabe aachia ngazi

Katika hali ambayo haikutarajiwa na wengi, Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ameamua kuachia ngazi.

Taarifa za kuaminika zinasema ya kwamba Rais Mugabe aliachia ngazi leo asubuhi wakati akishuka toka kwenye ndege bila kusaidiwa na mtu yeyote.

 
MKEWE ASHASEMA YY NDIYE RAISI KWA SASA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
 
Umetisha mkuu

Breaking newz niliisoma kichwa kichwa nimekuja kushtuka mwishoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…