Kila mwaka??!Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania yavamiwa na wezi na kuiba baadhi ya mali huku wakiwa wamemlewesha mlinzi getini Ili kufanikisha kuingia ndani.
source: ITV
Mshahara wa walinzi wetu haufanani na mali wanazolinda
Kila mwaka??!
Something wrong somewhere !!!