breaking news.meli ya fb matala yazama ziwa viktoria.

breaking news.meli ya fb matala yazama ziwa viktoria.

Chibolo

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
5,768
Reaction score
8,042
Meli

hiyo imezama katikati ya visiwa vya kebele na bumbire kutokana na dhoruba kali ikiwa inatoka
bukoba kuja mwanza ikiwa na tani 280 za sukari na wafanyakazi 10.habari
zaidi tutaendelea kuwajuza.source.itv/radio one breaking news.
 
Wafanyakazi wamepona / wameokolewa ?, Hayo mengine yanaweza kurudishwa ila sio uhai wa mtu/watu
 
Inasemekana wafanyakazi wameokolewa
 
Inasemekana wafanyakazi wameokolewa

Hii ni habari njema katika habari hii mbaya kabisa.., poleni wote wanaohusika kwa masahibu haya, Could have been worse, lakini kama wafanyakazi wamepona twahitaji kushukuru
 
AShukuriwe Mola watu wamepona, hiyo sukari wacha izame tu, watapata nyingine.
 
aiss!ngoja nikajichotee maji ya kutosha ya chai!gharama yangu majani ya chai tu!
 
Huu mwaka ni hatari sana hebu kumbuka haya; kupotea ndege ya maleysia, kuzama kwa meli ya korea kusini na leo kuzama kwa meli ya fb.......mengine nimesahau hebu tukumbushane
 
Hiyo meli ilizama na baadae kuibuka yenyewe, imevutwa ipo mwanza lakini mzigo umezama
 
Back
Top Bottom