kokudo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 2,546
- 1,662
Dereva tax anayejulikana kwa Jina la HIJA MAGOMA,Amemgonga mfanya biashara maarufu kama muuza genge,baada ya kufanya ajari hy ikasadikika dereva hyo wa tax no T901ANL alikua amelewa.Sasa wakati wananchi wanataka kumuadhibu kwa uzembe huo mala gari la police likafika na kumchukua,Wkati police wakitaka kumpeleka ki2oni jamaa akawa mkaidi police wakawa wanamuadhibu.basi wakaondoka nae kwa mwendo wa kasi.Wakati nipo kwenye eneo la tukio mala 2nackia yule dereva tax aliekua akipelekwa police kajirusha kutoka kwenye gari la police No PT 1805 na kufa papo hapo.Jamani ngoja nitaendelea kuwapa taarifa maana cm inakwsha moto