uswazi kwenu papo vizuri mkuu
huku napopajua mimi, kwanza mihogo ina kachumbari na chachandu zisizo na ushirikiano.. Mwendo wa sahani ya plastic na inalika kwenye mkeka kwa wastaarabu ila kwa kawaida kwenye floor iliyojichokea haina marumaru wala chochote zaidi ya mashimo
sambusa zenyewe ni za viazi, ukichukua chapati, bagia, vitumbua au maandazi bhasi jua utafungiwa kwenye gazeti ama ukibahatika utapewa vifuko laini vilee π
uswazi hupati tabu ya chai maana kikombe hadi mia mbili na ishaungwa sukari na pembeni kuna foleni ya wamama wanauza kila kitu nje ya mlango tu, bufee ya hela yako tu πππ