england nayo timu? wauza sura tu hao.....
Ingerland leo lazima wachezee kichapo tuu!! Ndio maana akina Fergie na Zizou wametimkia zao Qatar kuangalia mechi nyingine.
Acha tu nina majonzi sana kwa chama langu kula 4-0,ila poa ndio gemu,halafu ni la kirafiki acha tuteki easy!4 nil to Portugal! Duuh! hawa Portugal mziki wao mnene sana duu! mabingwa wa Dunia wamechemsha!(Portugal 4-0 Spain)