Braza katoka mbaliiiiii! alishauza mitumba.

Braza katoka mbaliiiiii! alishauza mitumba.

Ubungoubungo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2008
Posts
2,502
Reaction score
743
hapa akiuza mitumba iringa mjini.

1234644_565318010182183_506564916_n.jpg 10418377_680968195283830_3827331501881394646_n.jpg

hapa alikuwa anachumba mchumba aliyekuja kuwa mke wake wa watoto sita.

10157383_664186173628699_3687035564715869333_n.jpg

hapa akiwa mcheza mpira, aliyevaa nyekundu.
10170821_663765987004051_7058686022030462004_n.jpg

hapa akijaribu ubunge mara ya kwanza akiwa na mzee mrema. alikuja kumpiga chini kajiunga na peoplessssss

1011525_564998783547439_1467511438_n.jpg

ameshapata ubunge anapambana na majangili wala nchi. hana mchezo.

1013445_625635480817102_684619650_n.jpg 970169_567791083268209_1434047560_n.jpg 10562968_704400529607263_8001317303705096567_n.jpg 16785_750620404985275_1793786408680481243_n.jpg


ana mabinti mapacha warembo balaaa. ila amefuga mbwa wakali sana usiende kichwakichwa.

10501730_825987440781904_5264430002752448658_n.jpg 529980_495827987131186_1214029249_n.jpg 10262177_683435101703806_7758840602220925763_n.jpg

na mwaka huu anachukua jimbo la iringa, mwakalebela usipoteze muda.
 
uvumilivu ndo kila kitu.... huyo binti angekua wa dot com wasingedumu mpaka sahizi!!!!
 
mwenye namba za hao mabinti anipatie fasta
 
Sidhani kama Msigwa alipitia huko. he seems to be a learned man from his presentation of arguments in the bunge! Enzi hizo hapakuwa na uhaba wa kazi kama sasa! Kwa sasa kweli wasomi wanauza mitumba. Nimeona SUA graduates wanafuga Kwale Mwanza.
 
Dah, kumbe na yeye kalamba chumvi za kutosha.
 
Safi sana, sio mijitu imezoea soseji na mayai halafu inasema inazijua shida za wananchi na inang'ang'ania kwenda bungeni ili hali hata daladala hajawahi kupanda, shenxs taipu!!!!!!
Na wanapoomba kura zenu munawapa munasema matukio waliyohusishwa nayo kuwa walitolewa kafara tu hawakufanya wao
 
Na wanapoomba kura zenu munawapa munasema matukio waliyohusishwa nayo kuwa walitolewa kafara tu hawakufanya wao

Kibaya zaidi hawawataji wahusika ikiwa wao walitolewa kafara, hii nchi ina maigizo hii, mmmh!!!!!!!!
 
dah basi umri wake utakua umeenda sana maana hizo picha za nyuma sana
 
dah basi umri wake utakua umeenda sana maana hizo picha za nyuma sana
mkongwe kwa kweli. pale iringa ana bonge la mjumba aisee, na alilipata kabla hata hajawa mbunge.
 
Huyu wa mkono wa kushoto kwake najua atakua yupo humu naomba uni pm baby
 

Attachments

  • 1428175385295.jpg
    1428175385295.jpg
    84.1 KB · Views: 349

Similar Discussions

Back
Top Bottom