brand new samsung electronics kwa bei nzuri

brand new samsung electronics kwa bei nzuri

Joined
Nov 25, 2013
Posts
31
Reaction score
3
Jamani mimi ni dealer wa electronics za samsumg e.g tv, home theater, fridge, AC, washing machine n.k kwa mtu yeyote atakayeitaji anaweza kunicontact kwa # 0713086602...
 
weka picha za hivyo na pricetag....kiukweli muda wa kupiga simu na kuaanza kuuliza bei na vitu hatuna
 
brand new Samsung led tv 28" series4 f4000 yenye king'amuzi ndani yake kinachokamata channel zaidi ya 50 zikiwemo local channels kwa tshs 650000..
 

Attachments

  • 1385540862813.jpg
    1385540862813.jpg
    55.9 KB · Views: 1,047
Brand new samsung tv 32" led series4 f4000 yenye king'amuzi ndani yake kwa 750,000
 

Attachments

  • 1385541560839.jpg
    1385541560839.jpg
    62.4 KB · Views: 827
Hizo ni baadhi ya sample nilizonazo. Sitaweza kuweka picha ya kila electronic kwasababu ni nyingi sana kwa hiyo kama mtu unaitaji kitu chochote cha samsung model yoyote nipigie simu ntakupa bei...

Note: nadeal na electronics zote kasoro mobile phones.
 
Brand ninazouza mimi za kuanzia 2012 mpaka mwaka huu kwa hiyo sina 42 inch ila unaweza kupata kuanzia inch 19,22,23,26,28,32,40,46,55,60,65,75 na 85..Hizi zote ni LED. Kwa upande wa LCD kuna inch 32,46 na 50...chagua unayoona inakufaa nikupe bei mkuu
 
Natafuta kioo cha 32" Samsung LCD with this Model

Model: LA32C450E1
Model Code: LA32C450E1XSJ
Type No: LA32C450

Tafadhali, Nijulishe(0715240140)

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
46inch nauza 1,650,000 ambayo ukienda dukani watakuuzia mil mbili na laki mbili....then friji inategemea kama unataka side by side au juu na chini.
 
sumsung rc 512 batery ya laptop nijulishe kama inapatikana na bei mkuu
 
Samsung freezer la kusimama lenye uwezo wa kupokea litre 280 linauzwa 850,000.....

Note: electronics zote zina warranty miaka miwili
 

Attachments

  • 1385548230521.jpg
    1385548230521.jpg
    52.6 KB · Views: 670
Back
Top Bottom