Bragg apple cider vinegar

Huuu

Senior Member
Joined
May 2, 2017
Posts
116
Reaction score
61
Habari!
Nauza apple cider vinegar with mother, kwa bei ya shilingi 30000/= kwa ujazo wa nusu lita.

Pia hii apple cider vinegar ina faida nyingi sana ikiwemo kupunguza uzito (inapunguza hamu ya kula/ appetite suppressant) na pia inaweka sukari sawa kwenye damu...
Kwa ufupi ina faida nyingi sana kwenye mwili wa binadamu.


Napatikana Dar es Salaam

Karibuni sana.
 
Bado zipo, jumla na rejareja karibuni maboss wangu
 
Hiyo ni ile "Raw" au "Processed"??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…