Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,664
- 32,147
Mbaya zaidi baadhi ya wafanyakazi wasio waminifu wa uhamiaji wamekuwa wakienda kuchota mzigo kila mwezi.
Tunaomba Waziri na mkurugenzi wa uhamiaji wafuatilieni hawa wanaleta wabangaladesh, wapakistan wakisema wanakuja kuona miradi yao wanaishia kufanya kazi.
Nenden pale Engine, nendeni Sinza ofisi zao na sehemu kibao wengine wameanza kukimbia mikoani, hawalipi ada yetu ya work permit.
Nani anawalinda?
Tunaomba Waziri na mkurugenzi wa uhamiaji wafuatilieni hawa wanaleta wabangaladesh, wapakistan wakisema wanakuja kuona miradi yao wanaishia kufanya kazi.
Nenden pale Engine, nendeni Sinza ofisi zao na sehemu kibao wengine wameanza kukimbia mikoani, hawalipi ada yetu ya work permit.
Nani anawalinda?