Boyfriend ananitegemea


hahahah type hyo ya watu n shida they dont change no matter what mamake kamshndwa utamueza wew
 
walmu wanapondwa jamanii.... 400take home haitosh unatk nin we bibyee, hay iyo bcom yako inkuingzia bei gan, sio muhasb wakanisa kweel wewee na kabcom kako
 

Umemsoma na umemuelewa
 
Hakuna kitu kinakera kama mwanaume mvivu, asiyejua anaenda wapi na katoka wapi.
Haki sawa means meeting half way sio kumuomba mwanamke nauli au pesa za matumizi kila mara thats below border line.
Na 34??
Said this once "wanawake huwa tunadhani sisi ni miungu watu yani tunaeza mbadilisha mtu, we have faith that if mountains could speak then ingeimba hail women!!!
A person can only change when he or she decides to..34 kha
 
Hajawai kunipa ata sent tano zaidi ya kuninunulia soda,ni mkorofi nimejaribu kumbadilisha nimeshindwa labda nikuletee wewe ujaribu.anasema hua anaspend na rafiki zake zaidi navyomjua ni chapombe

Duuh! Ila wanawake mnapendaga vibaya kwel! Yaan amewahi kukununulia soda tu basi na bado una mategemeo ya kuishi nae! Au mahusiano yako na mamaake ndio yanayokujengea imani juu yake? Kwa maoni yangu huyo hakufikirii katka maisha yake, anakutumia tu kwa manufaa yake mwenyewe!
 

Mbona sisi huwa tunawapa matumizi, tunawapenda japo wengi wenu tumewazidi kielimu, kiuchumi na kifikrapia lakini tunawaheshimu sana wala hatuzungumzi chochote juu yenu. Kwa nini ninyi mkimzidi/ukimzidi mpenzi/mumeo kiuchumi au kielimu mnachonga sana?
 
Ndo maana wanaume wengi watoka chuo kikuu anaenda kuoa form four mwenye division four au zero
 
Ndo maana wanaume wengi watoka chuo kikuu anaenda kuoa form four mwenye division four au zero
 
dah kama vile nakuona miaka 10 ijayo utakavyokua unajua!!! HaPO una watoto kodi Kula kuvaa.....
mwanaume asiyejua majukumu yake na asiyejali kama huyu kuendelea nae mmmh mamy
 
dah kama vile nakuona miaka 10 ijayo utakavyokua unajuta!!! HaPO una watoto kodi Kula kuvaa.....
mwanaume asiyejua majukumu yake na asiyejali kama huyu kuendelea nae mmmh mamy
 
Huyo atakuwa anajisifia kwa wenzake kuwa demu wake kafa kaoza kwa mapenzi mazito anayotoa. Hawezi kubadilika huyo.
 
Hajawai kunipa ata sent tano zaidi ya kuninunulia soda,ni mkorofi nimejaribu kumbadilisha nimeshindwa labda nikuletee wewe ujaribu.anasema hua anaspend na rafiki zake zaidi navyomjua ni chapombe[/QUOT
 
let me see if u mean it!!
by the way long time hujaonekana mkubwa!!
i mean it a little.. hahahaa!
kaka tumepoteana sana, mishe za maghorofani zinatuweka busy sana!

si unajua tena taifa bila kujengwa halitoendelea?
 
Yeye Angekua Na Kazi Wewe Husingemtegemea?

tatzo wanawake wamezoea viti maaalam.,...dushelele c unapata kwa kiwango......ndo mshahara huo ila kama vp mweleze ukwel co kuja xumbua uku akat ukute daily makande ka kulee miliman
 
kazi ya wawili ni kushauriana mshauri usikate tamaa utafanikiwa hyo ndo mumeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…