Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,231
TMT ana uzito mdogo ngumi moja tu ikimpata anaweza kukata roho
Nan mwenye uzito mdogo mkuu
Nan mwenye uzito mdogo mkuu
Ha ha ha ha ha ha , acha nicheke tu hata nguvu ya kuandika thread vizuri sina kwa furaha ya ajabu niliyoipata baada ya haka kajamaa ka AJ kuchakazwa vibaya mno , sasa akipigana na wilder si atafia ulingoni kabisa.
Kuna tofauti kubwa saaana kati mwana ndondi mwenye kipaji yaani tokea utoto yeye anajua kupigana mitaani na katika mechi.
Na yule mwenye misuli aliyetengenezwa kupitia lishe na gym na kufundishwa kupigana.
Ruiz na wakongwe wa masumbwi kama akina Tyson,Muhamad Ali,Freizer,Foreman na wengineo hao ni Natural fighters sio industrial fighters kama Joshua na klistcho n.k.
Ukipigana na Natural fighter uwe una Jab halafu unakimbia .. ukipigana nipe nikupe lazima Natural fighter anashinda awe bonge au njiti maana natural gifted talents ni lazima aje tu piga nikupige.
Dogo uliyosema ni ukweli ila mengi uliyoyasema in mahaba kuliko uhalisiaNiliacha Kufuatilia Mchezo wa Masumbwi hasa ile miaka ya akina Tyson na Evander ila hapa Juzi kati nilipokuwa nikitizama sana TV1 na Kuangalia Mapambano ya huyu Bondia Antony Joshua kiukweli hata kama Jana amepigwa huko ila amenifanya nianze tena kuwa Shabiki wa Mchezo wa Masumbwi kwani Antony Joshua ni Bondia mzuri sana na ameiga vyema mno nyayo za Mike Tyson na Lenox Lewis, ana ' Endurance ' ya hali ya juu, Mjanja awapo Ulingoni ila Kikubwa zaidi anachonivutia nacho Antony Joshua ni kwamba ana Nidhamu ya hali ya juu, hana Maringo na ana ' Spirit of Sportsmanship ' ya ukweli kabisa. Nampongeza pia na huyo Bondia Ruiz kwa Kushinda na nadhani huu utakuwa ni mwanzo mwema / mzuri Kwake na Yeye sasa kuwa ' Mbabe ' wa dunia baada ya Joshua ' Kutawala ' kwa Kipindi kirefu.
Safi sana..!
Nimefurahi kinoma yaani..!
Huyu Anthony Joshua kwangu ni overrated boxer,mapambano yake ya uwanja wa nyumbani ndio yanambebaga...
Huyu ilibidi ale kipigo tangu kwenye pambano alilopigana na Klitchko..!
Dogo uliyosema ni ukweli ila mengi uliyoyasema in mahaba kuliko uhalisia
Yaani Chi chi Chibonge ,kamkalisha Joshua ,sasa angekutana diontay si angeua .Mimi mwenyewe nilikuwa namkubali Joshua na jana mikeka ya watu imechanika na wale wazee wa kujilipua waliompa Chibonge wamepiga mkwanja mrefu sana.