The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,459
- 17,266
Mwana masumbwi wa uzito wa juu Duniani Larry Homes amesema wapiganaji wa sasa wa ngumi wasingetoka salama enzi wake akiwa ulingoni.
Homes amasema ni kweli kua hawa wana masumbwi wa uzito wa juu wa sasa kina Joshua, Tyson, Wilder na wengine kina kibonge wasingetoa upinzani ila wasingechukua roud ulingoni.
Mimi binafsi nakubaliana nae, hawa heavy weight wa sasa hakuna kitu, ngumi zimepoteza mvuto, hakuna hard punchers kama kina Lyle, Earnie Shavers, Jimmy Young, Leo Spinks, George Formen, Ken Norton, Jerry Quarry, Ali, Smoking Joe, na kadhalika.
Mkongwe Bob Foster aliwahi kusema boxing now days is like wrestling.
Mimi binafsi baada ya kizazi cha kina Riddick Bowe, The Real Deal, Tyson nilipoteza hamu ya kufuatilia ngumi.
Larry Holmes: Current Heavyweights "Couldn't Stand A Chance" In My Era
Homes amasema ni kweli kua hawa wana masumbwi wa uzito wa juu wa sasa kina Joshua, Tyson, Wilder na wengine kina kibonge wasingetoa upinzani ila wasingechukua roud ulingoni.
Mimi binafsi nakubaliana nae, hawa heavy weight wa sasa hakuna kitu, ngumi zimepoteza mvuto, hakuna hard punchers kama kina Lyle, Earnie Shavers, Jimmy Young, Leo Spinks, George Formen, Ken Norton, Jerry Quarry, Ali, Smoking Joe, na kadhalika.
Mkongwe Bob Foster aliwahi kusema boxing now days is like wrestling.
Mimi binafsi baada ya kizazi cha kina Riddick Bowe, The Real Deal, Tyson nilipoteza hamu ya kufuatilia ngumi.
Larry Holmes: Current Heavyweights "Couldn't Stand A Chance" In My Era