Botswana: Mahakama yahalalisha ushoga

Botswana: Mahakama yahalalisha ushoga

Hii lazima itupe hofu kwani kama nchi tajiri kama Botswana wameshasukumwa ukutani sasa wachovu kama Tanzania itakuwaje. It's very dangerous.
 
Tatizo la Botswana ni nchi ambayo bado ina elements za mikono ya wakoloni (Waingereza). Hata waasisi wa Taifa hilo wengi walikubatia Umagharibi
 

Attachments

  • Screenshot_20190612-160354_1560344723883.jpeg
    Screenshot_20190612-160354_1560344723883.jpeg
    66.3 KB · Views: 25
Wazungu wametoka wapi hapo wakati ni maamuzi huru ya mahakama kuu ya Botswana!!???
Mkuu ningeshangaa sana kama uzi huu ungekupita. Niseme tu wazi huwa sikuamini nyendo zako. Unaweza kufurahia huu ushetani pasipo kufahamu madhara watakayoyapata wajomba zako means watoto wa dada zako
 
Mkuu ninheshangaa sana kama uzi huu ungekupita. Niseme tu wazi huwa sikuamini nyendo zako. Unaweza kufurahia huu ushetani pasipo kufahamu madhara watakayoyapata wajomba zako means watoto wa dada zako
Mimi ndio ninaowaleta mashoga?
 
Itafikia hatua Mwanaume kutolawitiwa ataona ndio ushamba kama ilivyofikia Mwanamke kutovaa Suruali au kuweka madawa kwny Nywele kuwa ni ushamba

Trump ametangaza ataongoza kampeni kali sana ya ku de criminalize Ushoga
kwani mwanmke kuvaa suruali kuna tatizo gani?
 
kwani mwanmke kuvaa suruali kuna tatizo gani?

Miaka 50 baadae kuna wanaume nao watauliza kwani Mwanaume kutokuwa na Malinda kuna tatizo gani?

Rejea historia ya Dunia nzima sio Africa Dunia nzima ujue vazi la Asili la Mwanamke ni lipi?
 
Mashoga wa humu jf watakua wanafurahia huu ushetani

Hao majaji nao ni machoko mtu una familia watoto na mwenye hofu ya mungu,utamaduni,na unaweza hatma ya jamii huwezi ruhusu mambo ya kisengerema kama hayo maana mtu mwenye utimamu wa akili hawezi ruhusu
Ndio imeshapita hiyo
 
Back
Top Bottom