BoT to change method of determining inflation

mie sie mchumi mzuri,lakini picha ninayo jaribu kuipata hapa,ni kwamba chakula ni muhimu kwasababu,mafuta hata bei ikibadilika itakuwa reflected kwenye hiyo bei ya chakula,hivyo sidhani kama ni sahihi kutotumia chakula.pili chakula ni kitu muhimu kwa kila mtu na ni lazima tule.ila tuangalie katika mazingira yetu ni kipi kinagusa sehemu kubwa ya jamii.
 
Tell me when u are done with ur words.Mbona habari iko wazi??Analysis gani unahitaji?And let me advice u,si kila kitu lazima u-comment.

Mkuu Tandale samahani sana ikiwa nimekukwaza but ukileta habari hapa JF uwe tayari kuitetea na sio kusubiria watu wacomment. Sasa kila theory au economic model zinaassumption zake let alone objective zake. Sasa mkuu tumekuomba utufafanulie hutaki unadai iko wazi. Uwazi upi husemi sasa tukuelewaje? Labda niseme tuassume mie sijui kitu wewe unajua kila kitu hebu tufafanulie basi!!!!
 
Aliyesema chakula hakimgusi kila mtu ni nani? Pia kingine waangalie gharama za makazi zinazopanda kila leo. Wanaposema mafuta pia wanyumbulishe ni kwa namna gani yanaathiri vitu vingine
 
Aliyesema chakula hakimgusi kila mtu ni nani? Pia kingine waangalie gharama za makazi zinazopanda kila leo. Wanaposema mafuta pia wanyumbulishe ni kwa namna gani yanaathiri vitu vingine

Kaka maoni mazuri.
 
Back
Top Bottom