BOT tawi la Mtwara, kuna walioitwa?

BOT tawi la Mtwara, kuna walioitwa?

zainath

Member
Joined
Oct 30, 2013
Posts
16
Reaction score
5
hi, kwa wale ambao tulifanya aptitude test bot mwezi wa 11 kazi za bot branch ya mtwara. Naomba kuuliza kuna ambao wameitwa kwenye selection interview? au bado watu hawajaitwa?
 
hi, kwa wale ambao tulifanya aptitude test bot mwezi wa 11 kazi za bot branch ya mtwara. Naomba kuuliza kuna ambao wameitwa kwenye selection interview? au bado watu hawajaitwa?

Tunasubiri watoto wa mabos wapate transcript tutawaita tuu!
 
Back
Top Bottom